Hivi Mwanaume unakuwaje mtu unayeshinda umelala tu!?

Hivi Mwanaume unakuwaje mtu unayeshinda umelala tu!?

vijana punguzeni stress 😁

mimi binafsi ni mfano wa hao wanaume unaowaongelea, naeza kukaa ndani kwangu two weeks bila kutoa mguu nje zaidi ya kupokea delivery mlangoni ila ninao uwezo wa kukulisha wewe na mkeo mwaka mzima hata kuwavalisha wote mkitaka 😁

Kuteseka sio sifa
 
vijana punguzeni stress

mimi binafsi ni mfano wa hao wanaume unaowaongelea, naeza kukaa ndani kwangu two weeks bila kutoa mguu nje zaidi ya kupokea delivery mlangoni ila ninao uwezo wa kukulisha wewe na mkeo mwaka mzima hata kuwavalisha wote mkitaka

Kuteseka sio sifa
AAH wacha weh
 
Hivi Mwanaume Unakuwaje Boya Unayeshinda Umelala

Wakuu, kuna muda inabidi tuongee lugha ya machinjioni kwa sababu hawa viumbe wanaojiita wanaume wa kizazi hiki wamezvywa mno na umama.

Inakuwaje mwanaume mzima, una ndevu kidevuni, una sauti ya besi kama honi ya lori la mkaa lakini huna fani yoyote, huna kazi, na huna hata mia mbili ya dharura mfukoni mwako
Upo upo tu mjini kama tambala la deki lililotelekezwa chooni.

Kazi yako kubwa ni kushinda umejilaza kitandani, unakodoa macho kwenye screen ya simu huku ukiwaza shemeji yako au dada yako atakurushia saangapi buku mbili ya kula ugali.
Hivi wewe ni mwanaume kweli au ni demu aliyesahau kuvaa sketi

Inakuwaje mwanaume unafikisha miaka 30 lakini mikono yako haina ujuzi hata mmoja wa kueleweka Hujui ufundi wa pikipiki, hujui kompyuta, hujui kushona, hujui hata kushika jembe ukalime vishamba vya pembezoni mwa mji.

Umekaa tu kizembe umepishana mikono kifuani kama binti aliyekataliwa ukweni.

Nikuambie ukweli unaoukwepa, Huu ujinga wa kushinda unajipaka mafuta mwilini, unanyoa viduku vya ajabuajabu na kuvaa pensi fupi mtaani ukiwa huna mia mbili, haukufanyi uwe mjanja. Unajiona handsome boy wa mjini

Siku shemeji yako akichoka kukulisha ugali, atakufungia mlango mchana kweupe na utarudi kwenu kijijini ukiwa umeshika nguo mbili kwenye mfuko wa sandarusi.

Amka wewe Futa hayo makamasi ya usingizi uelewe jambo moja, Dunia haijawahi na haitawahi kumhurumia mwanaume, Ukiona unatafuta huruma na dezo kama dada yako, jiandae kisaikolojia kulipia gharama yake kwa dharau kubwa zaidi Mjini hapa hakuna mtu atakayekulisha bure bila kukutumia kama tambala la deki

Usipojiongeza sasa hivi ukaingia barabarani kutafuta fani na hela yako mwenyewe, hawa watu unaowaomba mteremko watakufanya vitu ambavyo vitakufanya ujute kwanini ulizaliwa mwanaume

Kama huna fani wala kazi lakini unataka kuvaa nguo za gharama, kumiliki simu kali na kunywa bia, mjini kuna wazee ambao wanasubiri wavulana wapenda dezo kama wewe

Mwisho
Lakini nakuahidi, kitakachokupata mbeleni hakitahitaji mkalimani utakuwa mfano bora kwa wengine.
Halafu wanajifanyaga wanajua mahaba Ili wahongwe 😅😅😅😜👏👏
 
Hivi Mwanaume Unakuwaje Boya Unayeshinda Umelala

Wakuu, kuna muda inabidi tuongee lugha ya machinjioni kwa sababu hawa viumbe wanaojiita wanaume wa kizazi hiki wamezvywa mno na umama.

Inakuwaje mwanaume mzima, una ndevu kidevuni, una sauti ya besi kama honi ya lori la mkaa lakini huna fani yoyote, huna kazi, na huna hata mia mbili ya dharura mfukoni mwako
Upo upo tu mjini kama tambala la deki lililotelekezwa chooni.

Kazi yako kubwa ni kushinda umejilaza kitandani, unakodoa macho kwenye screen ya simu huku ukiwaza shemeji yako au dada yako atakurushia saangapi buku mbili ya kula ugali.
Hivi wewe ni mwanaume kweli au ni demu aliyesahau kuvaa sketi

Inakuwaje mwanaume unafikisha miaka 30 lakini mikono yako haina ujuzi hata mmoja wa kueleweka Hujui ufundi wa pikipiki, hujui kompyuta, hujui kushona, hujui hata kushika jembe ukalime vishamba vya pembezoni mwa mji.

Umekaa tu kizembe umepishana mikono kifuani kama binti aliyekataliwa ukweni.

Nikuambie ukweli unaoukwepa, Huu ujinga wa kushinda unajipaka mafuta mwilini, unanyoa viduku vya ajabuajabu na kuvaa pensi fupi mtaani ukiwa huna mia mbili, haukufanyi uwe mjanja. Unajiona handsome boy wa mjini

Siku shemeji yako akichoka kukulisha ugali, atakufungia mlango mchana kweupe na utarudi kwenu kijijini ukiwa umeshika nguo mbili kwenye mfuko wa sandarusi.

Amka wewe Futa hayo makamasi ya usingizi uelewe jambo moja, Dunia haijawahi na haitawahi kumhurumia mwanaume, Ukiona unatafuta huruma na dezo kama dada yako, jiandae kisaikolojia kulipia gharama yake kwa dharau kubwa zaidi Mjini hapa hakuna mtu atakayekulisha bure bila kukutumia kama tambala la deki

Usipojiongeza sasa hivi ukaingia barabarani kutafuta fani na hela yako mwenyewe, hawa watu unaowaomba mteremko watakufanya vitu ambavyo vitakufanya ujute kwanini ulizaliwa mwanaume

Kama huna fani wala kazi lakini unataka kuvaa nguo za gharama, kumiliki simu kali na kunywa bia, mjini kuna wazee ambao wanasubiri wavulana wapenda dezo kama wewe

Mwisho
Lakini nakuahidi, kitakachokupata mbeleni hakitahitaji mkalimani utakuwa mfano bora kwa wengine.
Ni maneno kuntu kweli na haujayaumauma wakati ukighani!

Je risala hii uliyotoa, ina tofauti gani na mtu anayesema maneno haba yanayoonekana ni kejeli ya kuchochea ghadhabu za watu kwa kusema: "tafuta hela', bila ya muongozo wowote wala mbinu za fursa?

Umejitahidi kuelekeza kazi za kufanya katika kujitafutia riziki, kuna vijana ni wahitaji, lakini wamekwama kupata fursa hizo na wanahitaji kuelekezwa ili kukwamuliwa.

Je haujawahi kusikia mfumo wa mkwamo unavyofanya kazi: 'unauza kitu na haupati mteja' na mwingine 'anatafuta kitu hicho hicho unachokiuza wewe lakini hapati anayekiuza'?

Katika hali ya namna hiyo lazima kuwe na kiunganishi ambacho hukutanisha watu na kutoa fursa za watu kupata habari za fursa mbalimbali za kujipatia kipato.

Je kwetu hali ipoje?

Je ni kweli kuna vijana wamebweteka kiasi cha kufaria kupata 'ugali wa shikamoo' kama wao wanavyosema?

Nadhani tusiwalaumu moja kwa moja vijana, ni suala mtambuka, ni gonjwa la kijamii hili.
 
Hivi Mwanaume Unakuwaje Boya Unayeshinda Umelala

Wakuu, kuna muda inabidi tuongee lugha ya machinjioni kwa sababu hawa viumbe wanaojiita wanaume wa kizazi hiki wamezvywa mno na umama.

Inakuwaje mwanaume mzima, una ndevu kidevuni, una sauti ya besi kama honi ya lori la mkaa lakini huna fani yoyote, huna kazi, na huna hata mia mbili ya dharura mfukoni mwako
Upo upo tu mjini kama tambala la deki lililotelekezwa chooni.

Kazi yako kubwa ni kushinda umejilaza kitandani, unakodoa macho kwenye screen ya simu huku ukiwaza shemeji yako au dada yako atakurushia saangapi buku mbili ya kula ugali.
Hivi wewe ni mwanaume kweli au ni demu aliyesahau kuvaa sketi

Inakuwaje mwanaume unafikisha miaka 30 lakini mikono yako haina ujuzi hata mmoja wa kueleweka Hujui ufundi wa pikipiki, hujui kompyuta, hujui kushona, hujui hata kushika jembe ukalime vishamba vya pembezoni mwa mji.

Umekaa tu kizembe umepishana mikono kifuani kama binti aliyekataliwa ukweni.

Nikuambie ukweli unaoukwepa, Huu ujinga wa kushinda unajipaka mafuta mwilini, unanyoa viduku vya ajabuajabu na kuvaa pensi fupi mtaani ukiwa huna mia mbili, haukufanyi uwe mjanja. Unajiona handsome boy wa mjini

Siku shemeji yako akichoka kukulisha ugali, atakufungia mlango mchana kweupe na utarudi kwenu kijijini ukiwa umeshika nguo mbili kwenye mfuko wa sandarusi.

Amka wewe Futa hayo makamasi ya usingizi uelewe jambo moja, Dunia haijawahi na haitawahi kumhurumia mwanaume, Ukiona unatafuta huruma na dezo kama dada yako, jiandae kisaikolojia kulipia gharama yake kwa dharau kubwa zaidi Mjini hapa hakuna mtu atakayekulisha bure bila kukutumia kama tambala la deki

Usipojiongeza sasa hivi ukaingia barabarani kutafuta fani na hela yako mwenyewe, hawa watu unaowaomba mteremko watakufanya vitu ambavyo vitakufanya ujute kwanini ulizaliwa mwanaume

Kama huna fani wala kazi lakini unataka kuvaa nguo za gharama, kumiliki simu kali na kunywa bia, mjini kuna wazee ambao wanasubiri wavulana wapenda dezo kama wewe

Mwisho
Lakini nakuahidi, kitakachokupata mbeleni hakitahitaji mkalimani utakuwa mfano bora kwa wengine.
Bloo unasimanga siyo poa.Tutatoka tu kimtindo.Tuache twende JKT kwanza bloo!
 
..hahaaaaa...!Waliitwa ..- Dume Suruali- hao kwenye wimbo wa Mwana F.A na Vanessa Mdee..
Kaa nao mbali tu Mkuu
 
Hivi Mwanaume Unakuwaje Boya Unayeshinda Umelala

Wakuu, kuna muda inabidi tuongee lugha ya machinjioni kwa sababu hawa viumbe wanaojiita wanaume wa kizazi hiki wamezvywa mno na umama.

Inakuwaje mwanaume mzima, una ndevu kidevuni, una sauti ya besi kama honi ya lori la mkaa lakini huna fani yoyote, huna kazi, na huna hata mia mbili ya dharura mfukoni mwako
Upo upo tu mjini kama tambala la deki lililotelekezwa chooni.

Kazi yako kubwa ni kushinda umejilaza kitandani, unakodoa macho kwenye screen ya simu huku ukiwaza shemeji yako au dada yako atakurushia saangapi buku mbili ya kula ugali.
Hivi wewe ni mwanaume kweli au ni demu aliyesahau kuvaa sketi

Inakuwaje mwanaume unafikisha miaka 30 lakini mikono yako haina ujuzi hata mmoja wa kueleweka Hujui ufundi wa pikipiki, hujui kompyuta, hujui kushona, hujui hata kushika jembe ukalime vishamba vya pembezoni mwa mji.

Umekaa tu kizembe umepishana mikono kifuani kama binti aliyekataliwa ukweni.

Nikuambie ukweli unaoukwepa, Huu ujinga wa kushinda unajipaka mafuta mwilini, unanyoa viduku vya ajabuajabu na kuvaa pensi fupi mtaani ukiwa huna mia mbili, haukufanyi uwe mjanja. Unajiona handsome boy wa mjini

Siku shemeji yako akichoka kukulisha ugali, atakufungia mlango mchana kweupe na utarudi kwenu kijijini ukiwa umeshika nguo mbili kwenye mfuko wa sandarusi.

Amka wewe Futa hayo makamasi ya usingizi uelewe jambo moja, Dunia haijawahi na haitawahi kumhurumia mwanaume, Ukiona unatafuta huruma na dezo kama dada yako, jiandae kisaikolojia kulipia gharama yake kwa dharau kubwa zaidi Mjini hapa hakuna mtu atakayekulisha bure bila kukutumia kama tambala la deki

Usipojiongeza sasa hivi ukaingia barabarani kutafuta fani na hela yako mwenyewe, hawa watu unaowaomba mteremko watakufanya vitu ambavyo vitakufanya ujute kwanini ulizaliwa mwanaume

Kama huna fani wala kazi lakini unataka kuvaa nguo za gharama, kumiliki simu kali na kunywa bia, mjini kuna wazee ambao wanasubiri wavulana wapenda dezo kama wewe

Mwisho
Lakini nakuahidi, kitakachokupata mbeleni hakitahitaji mkalimani utakuwa mfano bora kwa wengine.
Nasubiri ndoto zangu
 
Kama hajakuomba hata bando la kuingia jf Ushauri wako una nafasi gani kwenye maisha yake .!?
Wanaume kukumbushana muhimu sana mkuu, bando katafute mwenyewe ila ukiwa mzembe utakumbushwa tu. Look at it positively!!
 
Jobless tunapigwa knockout Kila mahali 😭

This time nisipotafuta mganga, aise najiona Nipo sana hapa kwa shemeji
 
Back
Top Bottom