Recent content by Mangachini

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wale msiojua: Mimi ni mtoto wa Mfalme!

    1 Petro 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu; Ufunuo wa Yohana 5:10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa kadi ya njano ya leo, Kai atakuwa amefikisha kadi 10+ za njano hivyo upo uwezekano atakuwa na adhabu ya kukosa mechi 2 mfululizo zijazo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nimejua kwa nini roho yangu huburudishwa sana na nyimbo zenye maudhui ya Neno la Mungu

    Mada nzuri hivi halafu hakuna wachangiaji wengi, mmmmh!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Who is Shivji mpaka asikosolewe?

    Na anayo pia Bachelor of Science Kaichukulia UK
  5. M

    JamiiForums Tanzania Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

    Mbona Royal Q kwa kutumia robots kwenye trading ya cryptocurrency Ina uhakika wa profit 100%. Au wengi hawajaifahamu hii kitu? Ndo habari ya mjini jamani.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa 'Ndimi Mbili' ukoje?

    Matibabu yake yakoje?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Kwa wasomaji wa Biblia Waturuki ndiyo Waefeso
  8. M

    JamiiForums Tanzania Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

  9. M

    JamiiForums Tanzania Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Huyu hadi Uwanja wa Mkapa alishacheza kipindi kile wamekuja kucheza na Stars , maandalizi ya kwenda Bondeni 2010
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

    Anasali kanisa la AIC(Kenya)
  11. M

    JamiiForums Tanzania Asilimia 13 fixed bank Vs UTT - kwa sasa wapi bora?

    Ni ya Serikali. Iko chini ya Wizara ya Fedha. Usalama wa kuwekeza huko upo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Karibuni tujadili kuhusu jiji letu pendwa la The Rock City

    Miaka ya 90 kuna Mkuu wa Mkoa yeye aliona mbali, alikataza kabisa ujenzi wa nyumba milimani. Kipindi hicho vilima vya Kitangiri, Nyamanoro, Igogo na Mabatini vilikuwa vinapendeza vina uoto wa asili bado. Lakini uongozi wa Chama ulimwambia asiwakataze wananchi kujenga milimani, na kwa vile mambo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amepata tatizo la kutoa harufu ukeni

    Nakushauri utumie bidhaa moja toka Malaysia inaitwa Vaginne, haina chemicals bali ina virutubisho vya asili. Kazi yako ni kutoa harufu ukeni, kuondoa bacteria wabaya kwenye uke, kubance ph, kulainisha uke ambao una ukavu, kufanya K iwe tight, kuondoa maumivu wakati wa hedhi, kukinga na kuondoa...
Back
Top Bottom