we nawe sasa uyo mume utampatia umu kwa wanaforums au? mtafutie ukouko mtaani kwenu bana,,alafu kupata mume au mke bora inatagemeana wewe ulijtunzaje apo kabla,kama ulikua hukutulia itabidi uombe mungu sana kumpata uyo mume mwenye hvo vgezo unavovitaka,,manake hvo vgezo tunavo anaume wachache mnooo
dah hili jeshi la polisi sijui linakuwaga wapi mpaka awa watu wanatusumbua namna hii,,na hayo mabomu sjui wanayapatia wapi aisee,,poleni wnakimara king'ong'o.
tatizo ni uwasilishwaji wa hiyo maada inayosema "kIKWETE AKATIZA SAFARI YA KUWAIT" apo ilibidi iandikwe hivi "RAISI KIKWETE ATAREJEA NCHINI HARAKA KUTOKA KUWAIT KUTOKANA NA MAAFA YA MLIPUKO WA KANISA LILILOPO ARUSHA" nahisi apo ndo tungeelewa vzuri.
tatizo ni uwasilishwaji wa hiyo maada inayosema "kIKWETE AKATIZA SAFARI YA KUWAIT" apo ilibidi iandikwe hivi "RAISI KIKWETE ATAREJEA NCHINI HARAKA KUTOKA KUWAIT KUTOKANA NA MAAFA YA MLIPUKO WA KANISA LILILOPO ARUSHA" nahisi apo ndo tungeelewa vzuri.
Wee endelea hivo hivo kutufanya mabwege wenzio,,hyo story umeiweka hili tuitolee filamu au vipi?? We mkinde kabla ya kuandka post zako zifikrie in deep,,sisi sio boongo movie kawape wakna JB waztolee filamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.