Wakala wa mbegu Tanzania (ASA) mjitafakari sana! Mliwaaminisha watanzania kuwa mbegu yenu ya alizeti mnayoiita STANDARD ni mbegu bora kumbe ni mbegu ya hovyo kabisa! Ni bora mngeacha wakulima waendelee na mbegu za kienyeji ambazo ni nzuri na zinatoa mazao mengi kuliko huu upuuzi mlioaminisha...
Habari wana JF!
Kwa sasa hivi nimeona juhudi mbalimbali zinazochokuliwa kuinua kilimo cha mkonge kwa maelezo kwamba kinalipa kwa kuwa ni zao lenye soko kubwa. Naomba kujua uzoefu wenu katika kilimo hiki kuanzia mikoa ambayo zao hili linastawi zaidi na aina ya udongo.
Pia napenda kujua namna ya...
Mkuu pole sana kwa madhila yaliyokupata. Wewe binafsi uliwahi kumtafuta huyo OCD ukasikia kauli yake au huyo ndugu yako alipofika huko Ludewa alibahatika kuonana naye?
Inawezekana askari akasema anaongea na kiongozi fulani kwenye simu kumbe siyo. Cha msingi kama ulivyoamua kuliweka hili bayana...
Nashukuru kwa habari hii. Ingependeza zaidi tungejua kuhusu upatikanaji wa miche(mbegu), ardhi gani inakubali zao hili(mikoa na wilaya gani) na masoko- mnunuzi mkubwa kwa sasa ni nani?
Habari wana JF,
Nina wazo la kulima alizeti katika wilaya ya Liwale baada ya kuona ufuta unasuasua kwenye suala la bei sokoni.
Naomba wenye uzoefu kuhusiana na mbegu inayohimili hali ya hewa katika wilaya hii anisaidie uzoefu wake tafadhali
Habari wa JF!
Naombeni ushauri au uzoefu wenu kuhusu madawa yanayoweza kutumika kufanya palizi kwenye shamba la ufuta.
Nafahamu yapo madawa ya kufanya palizi kwenye mpunga na hata mahindi na kwa kiasi kikubwa yanasaidia kupunguza gharama za kilimo kwa wanaolima mashamba makubwa.
Nimejaribu...
Habari wa JF!
Naombeni ushauri au uzoefu wenu kuhusu madawa yanayoweza kutumika kufanya palizi kwenye shamba la ufuta.
Nafahamu yapo madawa ya kufanya palizi kwenye mpunga na hata mahindi na kwa kiasi kikubwa yanasaidia kupunguza gharama za kilimo kwa wanaolima mashamba makubwa.
Nimejaribu...
Habari wana JF!
Naombeni ushauri au uzoefu wenu kuhusu madawa yanayoweza kutumika kufanya palizi kwenye shamba la ufuta.
Nafahamu yapo madawa ya kufanya palizi kwenye mpunga na hata mahindi na kwa kiasi kikubwa yanasaidia kupunguza gharama za kilimo kwa wanaolima mashamba makubwa.
Nimejaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.