Kama katutongoza basi jua jamaa ni bwege haswa..kwa ulimwengu wa leo malaya wamejaa kila Kona..kuanzia 2000 mpk 5000 ni ujinga kutongoza ukizingatia huyo mtu huji kuishi nae..!
Inawezakana
1.huna akili
2. Hujafanya utafiti au/na
3. unamihemko
Vilabu (Liverpool) vs watengeneza jezi (Nike)
Nike anaingia mkataba na Liverpool wa kutengeneza jezi.. Liverpool anapewa dau lake..! Jezi za Liverpool zikiuzwa pesa inaenda kwa Nike na kiasi kidogo kinaenda kwa Liverpool..! Na...
Atafukuzwa ASUBUHI tu..timu za DUNIA ya kwanza au ya pili..zinataka Big results now kwa sababu wana mkurugenzi wa michezo, scouts na benchi la ufundi linalosimamia mikakati na falsafa za CLUB..kocha ukija unaweka ufundi wako tu..sasa yeye anataka mpk WACHEZAJI [emoji23][emoji23]
Pitso, pep au mou kila wanapoenda wanaenda na watu wao kwenye BENCHI la ufundi tumeona hivyo kwa arteta au klopp pia...walimu wengi hupenda ongozana na watu wao kwa kua wanajuana.. kaizer chifu haikuwa sehemu SAHIHI kwa NABI..wale wana falsafa zao..!
2023 bado anatumia mbinu za 2003 kweli? Diamond kwa ukubwa anaopewa, nyimbo ndio zingekuwa zinaongea sio mikwara..! Jay Melody yupo kimya ila nyimbo mpk chooni zinapigwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.