Unachanganya sana maboya! Hujui kitu!
SAS baada ya Baba yao kufariki,walikua na Malori yameandikwa SAS pale mwendakulima karibu na Buzwagi! Siku hivi kuna lori hata moja lipo hapo?? Niambie siku hizi Malori yao yanaitwaje?? Huwezi pata pesa nyingi kwenye kukodisha godown kama walivyo kua...
Kuna tofauti kubwa sana mwenye Elimu asiye na pesa na mwenye pesa asiyekua na Elimu!
FYI! Ni kwamba tunasoma sio lengo letu kupata pesa,lengo ni kua na exposure ya maisha,kuweza kuendesha maisha in the soft way,tofauti na wewe unadhani kusoma ni kuja kua na pesa au tariji mkubwa!
FYI! Ni...
Kikwete katoka familia yakimasikini?? Hujui kitu! Baba yake Kikwete alikua DC enzi za ukoloni huko! Magu kabebwa sana na Benjamin Mkapa! Benjamin Mkapa kabebwa na Nyerere, Mwinyi kabebwa na Nyerere! Usiwe unaongea mambo usiyoyajua!
Moja ya wasanii wa bongo movies nitaowachukia ni Aunty Ezekiel! Huyu mama kwa ujinga ujinga ndiyo anaongoza,anapenda maisha ya juu,wakati kichwani ni empty! Hivi kwa maisha gani aliyona hadi atoe mchango wa 4M?? Hiyo laki 2,ukute hajalipa bado!
Obama alitaka kuivamia kijeshi Syria Bunge likakataa, Libya ni Ufaransa na NATO ndiyo walifanya yao! Kuna ndege hata moja ya Marekani ilikua inafanya uharifu Libya au wanajeshi wa Marekani walikua Libya wakifanya Uhalifu?
Je atafika tano bora?? Nchimbi,Kimbisa na Sofia Simba si walikua kambi ya Lowasa,na ndio hawa walipinga hadharani uteuzi wa Jiwe?? Hee he he! Subiri uje uone rangi ya jiwe ilivyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.