Recent content by Mandalic

  1. M

    Nuksi na mikosi imeniandama; Namna gani ya kuiepuka?

    Kaka wewe Ni wa Nuruni lakini unaishi maisha ya Gizani tena ukiwa huna mashaka kabisa hayo sio maisha ambayo Mungu anataka uishi hapa Duniani mgeukie Mungu akurehemu,akusamehe uanze maisha kwa upya katika Nuru na ukiwa katika hiyo Nuru atazidi kukuonyesha mengine yanayokufanya ushindwe...
  2. M

    Wale wazee wa kuchepuka nipeni maujanja naingia kwenye chama rasmi

    Solution ya kweli Ni kusolve hizo changamoto usizotueleza lkn hiyo solution yko unayoombea ushauri Ni ili ikupe furaha ya muda mfupi inategemea inaweza ikawa ya wiki miez mwaka lkn Ni ya muda kabla hayajaja maumivu makubwa kuliko hayo ya sasa.Ushauri wangu mimi Ni kwamba Mkaribishe Mungu...
  3. M

    Tatizo la Upinzani Tanzania ni kukosa itikadi

    Mm naona kwa sasa upinzani upo kwa ajili ya rika mbali mbali kujifunza na kupata uzoefu wa siasa lkn c kushinda uchaguzi na kuchukua madaraka kwa sababu ata ktk Mpira France vs USA ili mechi iwe fair marefa na Washika vibendera wanatoka nchi tofauti na hao wanaokutana,na sasa wameongeza na goal...
  4. M

    Je, ni kweli ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza kabla hatujalala?

    Mimi kwa mtazamo wangu si lzm iwe hivyo "Naona kwamba Uchafu wa mawazo yako unawezekana kutoka lakini mazingira yako bado Ni kizuizi yaan mazingira unayo ishi au kukaa muda mwingi yanafanya uendelee kuwa na uchafu wa mawazo".
  5. M

    Somebody pray for me

    Kama umeweza kutuma hii msg uku basi wewe Ni mshindi, Mtafute mtu mwenye Nguvu na Pendo la Mungu ndani yake aongee na wewe.
  6. M

    Wale Mliowahi Kupanda Treni ya Tazara Tukutane Hapa

    Umenikumbusha mbali kuna safari moja nilipanda treni, vituo kama 2 kabla ya kufika Mlimba kichwa cha tren kikataka kuwaka moto hivyo ikabidi wakitenganishe na mabehewa hivyo watu wote walishuka chini kwa mshtuko. Kusolve ikabidi waende kufuata kichwa kingine Mlimba basi tulikaa muda mrefu sana...
  7. M

    TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

    RIP sikujua kwamba mpaka miaka hii alikuwa anafundisha mm nilisoma kwake miaka ya 1998 mpaka 2000 pamoja na kwa Babangida.Sijui Alisoma wapi yule ile physics
  8. M

    Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

    Si walikuwa maarufu sana japo sikuwai kusoma kwao lkn mitihani Yao ilitusaidia.Walikuwa na mbwembwe mara' Ibunga's law'
  9. M

    Naomba tumsaidie Joyce Kiria wa wanawake live. Anabomoa msingi wa taifa Bora

    Binadamu yatupasa Kumcha Mungu, kumtegemea Mungu hapa Duniani na Ni yeye aliyewaunganisha wanandoa wawili lkn Mungu baada ya kuwaunganisha anasema uko katika ndoa yenu yeye atakuwepo, baada ya kuwaunganisha pia anasema ANACHUKIA kuachana isipokuwa kwa sababu ya uasherati na kama kitu Mungu...
  10. M

    Tukutane hapa wale mliowahi kuibiwa magari, bajaji, pikipiki na vitu vingine na mkavipata

    Mkuu wewe shukuru mambo yalienda vizuri lakini hao jamaa kila ukienda Wa nakwambia upelelez unaendelea na kila ukienda uwaboost ndo wanachangamka kwa muda zikiisha wanasinzia wanasubir booster nyingine.
  11. M

    Askofu Josephat Mwingira awataka waumini kuvua barakoa

    Mungu akubariki kwa kuwafafanulia vizuri na Mungu awasamehe waliomkashifu Mtumishi wa Mungu.
Back
Top Bottom