makenze
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 356
- 217
Mimi binafsi nishaibiwa mara kadhaa ila njia ya polisi haikuwahi nisaidia kabisa.
Sasa kuna rafiki yangu aliibiwa pikpik akaenda kwa mtaalamu, pikpik ikaganda huko Tanga na iliibiwa Dar, akaifata akaikuta stend jamaa anashindwa kuitoa.
Leo jirani kaibiwa bajaji kiukweli nimeshindwa kumsajestia hii njia ya huyu rafiki yangu maana mimi kiukweli pia waganga siwaamini kabisa.
Japo nina ushuhuda mmoja wa huyo wa pikpk. Nikiibiwaga namuachia Mungu tu.
Ushawahi ibiwa kitu ukakipata? Ulitumia njia gani?
Sasa kuna rafiki yangu aliibiwa pikpik akaenda kwa mtaalamu, pikpik ikaganda huko Tanga na iliibiwa Dar, akaifata akaikuta stend jamaa anashindwa kuitoa.
Leo jirani kaibiwa bajaji kiukweli nimeshindwa kumsajestia hii njia ya huyu rafiki yangu maana mimi kiukweli pia waganga siwaamini kabisa.
Japo nina ushuhuda mmoja wa huyo wa pikpk. Nikiibiwaga namuachia Mungu tu.
Ushawahi ibiwa kitu ukakipata? Ulitumia njia gani?