Pia, kuna mfumo ndani ya Taxpayer Portal - wa kusajili na kubadili umiliki wa magari, nao una shida nyingi sana. Tangu jana najaribu kubadili umiliki lakini mfumo haueleweki, mara unaleta error. Wahusika inapaswa wauangalie tena. Haiwezekani, kubadili tu umiliki kuwe 'complicated' kama ilivyo sasa.