Bro usilazimishe kuishi na mtu.
Narudia usilazimishe kuishi na mtu
Umemkuta ana meno 32 tena ukute sio bikra.! 😎
Wewe ni nani mpaka ujikute unajukumu la kufanya kitu kwake.!
Sasa kama ulikuwa hujui huo ndio mda wa kujipata unareplace maokoto yaliyoliwa na tunutu na madumadu
Jipende...
Kwenye nchi kama hii huwezi pata suluhisho
Ni wakati sasa wa kununua chuma hata za magendo ili akitokea mpumbavu unadili naye kimyakimya
Huku kuchekeana kutatufikisha pabaya
Imagine Mtu umefanyiwa dhuruma lakini huna amani kuliko aliyekufanyia.!
Yeye boda bado anakula vichwa area hiyo ila...
Kwani hao wanaojikuta wasimamizi wanajua zilitafutwaje.?
Mali ya marehemu anpoachwa muda mrefu kwa kigezo kitu muhimu/sehemu muhimu
Ni suala la muda wenye tamaa huanza kujimegea mapande kisa ni viongozi
Mtu akifa kitu kipigwe chini chapu ili watu wabaki kuwa ndugu
Kuacha mali ya marehemu...
Nchimbi ni muhuni kama wahuni wengine.. Hana sababu ya kuwa habari ya mjini
Angekuwa mkweli na muaminifu hakutakiwa kutumia hata mwezi Baada ya ghasia kujiondosha
Wameona ligi ya nje imepamba moto wameamua kutengeneza ligi yao.!
Mabwege kabisa sijui wanatuchuliaje
Wanaona kila mtamzania...
Kua uyaone.!
Kuacha mtu aende nao ni upendo.!
Mama akiona mateke yamezidi tumboni anamtapika mwana nyie mnaita kujifungua.!
Ukiwa unajua majibu kabla ya mwalimu darasa linakukataa
Simaanishi mwisho..! Usininukuu vibaya
But there is the price in each level
The offering means a lot
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.