Recent content by ManchoG

  1. ManchoG

    Angalieni hii ramani ya nyumba alafu mnishauri kitu

    Kama ni Ushauri wa faragha Anapaswa chumba kilicho karibu na masta akihamishe apeleke upande wa kitchen na mbadala wake Ili akitumia mlango wa nyuma mgeni asione Sema choo cha public itabidi kihame pia kutosheleza nafasi na chemba zitaongezeka Halafu hii collection ya typing inayojitokeza jf...
  2. ManchoG

    Gerson Msigwa: Gharama za uwanja wa Arusha zimeongezeka baada ya CAF kusema tuongeze Vitu

    Usimpe masikini madaraka, hutoacha kuona kila rangi
  3. ManchoG

    Gerson Msigwa: Gharama za uwanja wa Arusha zimeongezeka baada ya CAF kusema tuongeze Vitu

    Afute kwanini.! hiyo ndiyo nukta kubwa
  4. ManchoG

    Kuna mzee wa miaka 90 kasema tangu azaliwe hajawahi kuona Uchawi

    Si kwasababu uchawi lazima uwepo Ila tunapata maana ya maisha kamili pale yanapoishia..!? Maisha ni kujilisha upepo katika umaana wake mpumbavu Ikiwa hii itaitwa kujifariji katika kutafuta maana katika kisicho na maana basi iwe jinsi ilivyo Ila maisha yana ziadi ya yanayoishi hii ni bayana...
  5. ManchoG

    Utafiti: Bia inaongeza uwezo wa kufikiri na ubunifu kwenye angle nyingi za kimaisha

    Hakuna baya kwa Gambe ni watu na Mabaya yao The Elixir of life itabaki juu milele
  6. ManchoG

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Unamaanisha Nigeria haipo.! Fanya upya utafiti
  7. ManchoG

    Vipi hawa transgender hufungwa KWENYE magereza ya jinsia zipi? Mpya au Zile Zile orginal

    Au ndio maana magereza kiko shwari.! Hawawekewi mafuta ya taa kwenye Nguna kama kitambo kumbe wanaviburudisho
  8. ManchoG

    Utafiti: Bia inaongeza uwezo wa kufikiri na ubunifu kwenye angle nyingi za kimaisha

    Ili muhimu wachache wanaweza kumudu hii Gambe nalo linamfungo wa kwarezma ili lisivuke kipimo
  9. ManchoG

    Utafiti: Bia inaongeza uwezo wa kufikiri na ubunifu kwenye angle nyingi za kimaisha

    Unaweza ukajiona unaishi kumbe sio wewe Hii miili tuliyonayo ndio chanzo cha magundu mengi Toka niligundia Gambe linaruhusu kujipata sijawahi kulisaliti
  10. ManchoG

    Utafiti: Bia inaongeza uwezo wa kufikiri na ubunifu kwenye angle nyingi za kimaisha

    Konyagi ndogo asubuhi inazuia mizimu ya mababu marehemu kutumia mwili wako Unakuwa mpyaa mapema Yaani wewe kama wewe asubuhi.! Bila laana
  11. ManchoG

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Mkuu kufa ni kufa tu hakuna ufundi Mali ni za walio hai aliyekufa hana lake Kila mwenye kukera dunia hii ili asikutese kumbuka atakufa tu na kifo ndio mwisho wa wenye tamaa na laana
  12. ManchoG

    Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Hapa sawa mkuu tumepata muunganiko Mkipata muendelezo msichoke kutuwekea, dunia ngumu hii shekhe.!
  13. ManchoG

    Walimu mtoto mnashinda naye asubuhi hadi jioni bado mnataka na saa1-4 usiku muwe naye shuleni?

    Tatizo ni uongozi Kuwa na wasomi wasioelimika ni janga kubwa
  14. ManchoG

    Vitu ambavyo nilikuwa navichukulia kirahisi nikiwa under 25 lakini sasa nina zaidi ya miaka 35 nawaheshimu waliovifanya

    Kama una adabu unanilinganishaje na GenZ.!? We hujasoma alichoandika hako katoto kenzako!
Back
Top Bottom