Kama ni Ushauri wa faragha
Anapaswa chumba kilicho karibu na masta akihamishe apeleke upande wa kitchen na mbadala wake
Ili akitumia mlango wa nyuma mgeni asione
Sema choo cha public itabidi kihame pia kutosheleza nafasi na chemba zitaongezeka
Halafu hii collection ya typing inayojitokeza jf...
Si kwasababu uchawi lazima uwepo
Ila tunapata maana ya maisha kamili pale yanapoishia..!?
Maisha ni kujilisha upepo katika umaana wake mpumbavu
Ikiwa hii itaitwa kujifariji katika kutafuta maana katika kisicho na maana basi iwe jinsi ilivyo
Ila maisha yana ziadi ya yanayoishi hii ni bayana...
Mkuu kufa ni kufa tu hakuna ufundi
Mali ni za walio hai aliyekufa hana lake
Kila mwenye kukera dunia hii ili asikutese kumbuka atakufa tu na kifo ndio mwisho wa wenye tamaa na laana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.