Kuna Maimani hayafai kwa makuzi ya ufahamu wenye afya
Majitu yanazeeka yakiwa ya hovyo hovyo
Kuna vidude vya imani fulani vinatakiwa kuishia utendaji wa kijiji basi
Hakuna Tumbo gumu kama la mama wa afrika
Limelala kama zimwi kwenye mbuyu na mifupa yake kakumbatia🤭
Siku majike ya hii nchi yakiamka na kuacha upumbavu litakuwa ni suala la muda kujipata
Ukweli mchungu chanzo cha umasikini katika jamii zozote duniani ni wanawake
Mwanamke akiwa mpumbavu...
We usituharibie dili
Sie huku kwetu shati la mtumba la buku karume mtu analima 10*10
Heka unalima kwa buku 7*2 shi kumi na tano.!
Nb: chunga komwe lako litaleta maafa
Hapana, wakati nipo mdogo nilikuwa naota mabawa naruka wananizoom kwa mbali 'yulee Nayeyaa'
Siku hizi uzeeni nikitaka kuruka wananicheka wanajua nadondoka na Kweli.!🤭
Yaani ile siruki nyumba mbili hawa hapa🤗
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.