Kuna watu dunia hii wanakomalia matalaka.!?
Eti kisa Kuna cheti cha ndoa.!
Sawa.. Huyo Adamu na hawa walifungishwa ndoa na nani.?
Cheti walipewa na nani.!
Sasa kama ni Imani tu.!? Kwanini kila kitu kisiishe kwa imani.!?
Inatakiwa watu wataliki kwa imani na warudiane kwa imani tu. 🤗
Nazi haishindani na Jiwe.. Ni kweli.!
Ila sipendi mtu anahisi October 29 ni tatizo baya tena anapiga vuvuzela.! Huu ni zaidi ya ushenzi.!
Tuheshimu mamlaka.. hakuna malaika Duniani
Laana haipo kwa maana ya hayo madanga yaliyokosa kujipata
Laana sio Msemo wa mazoea kama wamatumbi wameita.
Laana ipo kwakuwa kila kitu kinajirudi 'Karma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.