Recent content by ManchoG

  1. ManchoG

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari Njema Kwa Wanaume: Mahakama Kenya yaamuru Wazazi Wakipeana Talaka Gharama za Malezi ya Watoto Kuchangiwa Sawa

    Huyo wa kusema tutakula kwa shida ni nani! Na wewe ukawa msemaji wake.? Ila kama umesema wewe ndio umenena hainihusu
  2. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Kero zinazidi mpaka unajikuta unatukana kipochi cha mamkwe automatic 🤭
  3. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya kuachwa na mke huwa yanachukua muda gani kupona

    Ulikaa miezi 9 tumboni.?
  4. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya kuachwa na mke huwa yanachukua muda gani kupona

    Bro usilazimishe kuishi na mtu. Narudia usilazimishe kuishi na mtu Umemkuta ana meno 32 tena ukute sio bikra.! 😎 Wewe ni nani mpaka ujikute unajukumu la kufanya kitu kwake.! Sasa kama ulikuwa hujui huo ndio mda wa kujipata unareplace maokoto yaliyoliwa na tunutu na madumadu Jipende...
  5. ManchoG

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Boda aliyemuingilia Mwanafunzi wa Darasa la 3 (mbele na nyuma) - Mbande, anatamba mtaani, hatuoni dalili ya haki

    Kwenye nchi kama hii huwezi pata suluhisho Ni wakati sasa wa kununua chuma hata za magendo ili akitokea mpumbavu unadili naye kimyakimya Huku kuchekeana kutatufikisha pabaya Imagine Mtu umefanyiwa dhuruma lakini huna amani kuliko aliyekufanyia.! Yeye boda bado anakula vichwa area hiyo ila...
  6. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi juu ya haki ya mjukuu kurithi mali ya babu/bibi yake

    Kwani hao wanaojikuta wasimamizi wanajua zilitafutwaje.? Mali ya marehemu anpoachwa muda mrefu kwa kigezo kitu muhimu/sehemu muhimu Ni suala la muda wenye tamaa huanza kujimegea mapande kisa ni viongozi Mtu akifa kitu kipigwe chini chapu ili watu wabaki kuwa ndugu Kuacha mali ya marehemu...
  7. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Maisha bora ni kutaka unavyotaka kuwa bila ghasia za survival mode
  8. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Nchimbi ni muhuni kama wahuni wengine.. Hana sababu ya kuwa habari ya mjini Angekuwa mkweli na muaminifu hakutakiwa kutumia hata mwezi Baada ya ghasia kujiondosha Wameona ligi ya nje imepamba moto wameamua kutengeneza ligi yao.! Mabwege kabisa sijui wanatuchuliaje Wanaona kila mtamzania...
  9. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Sanaa ya Kuamuru Roho za Mbingu, Angani, Duniani, na Kuzimu

    Acha wizi Halafu hiyo mitambiko mnachukulia masikhara mkipekekwa puta na njaa huku mnajiweka kwenye vifungo Hayo mavitu sio ya kucheza hivyo
  10. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Sanaa ya Kuamuru Roho za Mbingu, Angani, Duniani, na Kuzimu

    Mwanga mkubwa we Matambiko ya majini na mashetani unaita sijui Mungu.. Mtakufa midomo wazi
  11. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Kua uyaone.! Kuacha mtu aende nao ni upendo.! Mama akiona mateke yamezidi tumboni anamtapika mwana nyie mnaita kujifungua.! Ukiwa unajua majibu kabla ya mwalimu darasa linakukataa Simaanishi mwisho..! Usininukuu vibaya But there is the price in each level The offering means a lot
  12. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Dogo kua uyaone Nb: sio kila mwanaume kaka yako
  13. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Kijana, talaka ukiwa na Umri zaidi ya miaka 40 ni kukosa maturity

    Jibu unalo Wacha kujifanya mnazi wa ndoa Mtu umemkuta ana meno 32 we nani umwambie nini.! 😎
Back
Top Bottom