Recent content by ManchoG

  1. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Adam na Hawa walizikwa wapi, Je kuna ushahidi wowote?

    Kuna watu dunia hii wanakomalia matalaka.!? Eti kisa Kuna cheti cha ndoa.! Sawa.. Huyo Adamu na hawa walifungishwa ndoa na nani.? Cheti walipewa na nani.! Sasa kama ni Imani tu.!? Kwanini kila kitu kisiishe kwa imani.!? Inatakiwa watu wataliki kwa imani na warudiane kwa imani tu. 🤗
  2. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Hii ni tabia ya hovyo na kindezi: huendi kwenye misiba! Mbona huulizi kwenda kuona wagonjwa au wenye matatizo? Tabia za kichawi hizi

    Huyu hasalimii, Ngoja siku adondoke me nampita kama simjui. 🤨 Njaaa huzalisha roho mbaya bila hiyari.🤭 Epuka mtu na njaa bila shurti
  3. ManchoG

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Umeakiri Kuambatana na wanaowezak kuna matokeo Kilicho baki kwako ni kijicho kinachohitaji ufanunuzi
  4. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Hiyo sheria ya nini cha kufanya nani aliamua.! Dogo acha uzombi
  5. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Jiapate
  6. ManchoG

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Kaka majini yana utaratibu mwingi sana Natamka kiimani sana ila najua ina tafsiri.. 🤗
  7. ManchoG

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Sawa kuwa na kheri
  8. ManchoG

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Kaka acha kijicho Wao ni tafsiri ya kipaji..! Pale mrundikano wa laana unapokunya hakuna scale.!
  9. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Nazi haishindani na Jiwe.. Ni kweli.! Ila sipendi mtu anahisi October 29 ni tatizo baya tena anapiga vuvuzela.! Huu ni zaidi ya ushenzi.! Tuheshimu mamlaka.. hakuna malaika Duniani
  10. ManchoG

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Kaka Mondi na Alikiba mziki wamejifunzia wapi...! ? Ajabu wana ladha.!?
  11. ManchoG

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Dogo hujakutana na vizingiti visivyo na tafsiri.! Ila baki ulipo ni jambo jema pia
  12. ManchoG

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Laana haipo kwa maana ya hayo madanga yaliyokosa kujipata Laana sio Msemo wa mazoea kama wamatumbi wameita. Laana ipo kwakuwa kila kitu kinajirudi 'Karma
  13. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Je kuna kimiminika,karainishi au mafuta ambayo yana kazi sawa na faida sawa kama za CONDOM?

    Kufa sio hiyari ni lazima.! Kuna ladha ya kutofahamu yote Mimi binafsi sipendi kuishi milele Kuishi milele kwangu ni upumbavu
  14. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Aise ; zawadi kwa ajili ya waumini na mashahidi peponi.

    Eti sema Allah hakuthubu kutumia tikiti kutoa ahadi tamu za kutoa hangover.
Back
Top Bottom