Recent content by ManchoG

  1. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Tatizo damu ya Mtu haifukiwagi na mchanga. Damu hufukiwa na damu juu yake

    Umenena kweli Nina roho ngumu lakini kwenye Damu Hapana aisee bei yake ngumu sana
  2. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Kuna Maimani hayafai kwa makuzi ya ufahamu wenye afya Majitu yanazeeka yakiwa ya hovyo hovyo Kuna vidude vya imani fulani vinatakiwa kuishia utendaji wa kijiji basi
  3. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Juma na Ali Safari Mbili za Maisha

    Uzi wa mbogamboga akina J
  4. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

    I irady born be4 I mesup0
  5. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Hakuna Tumbo gumu kama la mama wa afrika Limelala kama zimwi kwenye mbuyu na mifupa yake kakumbatia🤭 Siku majike ya hii nchi yakiamka na kuacha upumbavu litakuwa ni suala la muda kujipata Ukweli mchungu chanzo cha umasikini katika jamii zozote duniani ni wanawake Mwanamke akiwa mpumbavu...
  6. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

    Hiki nacho kipimo cha kumanya umri wa vijeba jf Hivyo vikombe mwinyi anaingia madarakani vipo na mimi nimetuma sana tu mtajua wenyewe
  7. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    We unadhani watu kwenye viti virefu wapogo na nightmare.!? Wao madrem yao wanaexplore thu the galax they meet extraterrestrial before we exit 🤗
  8. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Basi sawa we fanya kunihurumia inatosha
  9. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Mbona nyie ambao hamnywi mnamaisha magumu kama sisi tunaogida kila siku?

    Their just bunch ya Ufwala jutu likiwa fala kwenye ubora huwa linajikuta Kerubi Njaa ndio inaamua uozo wao
  10. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Walifikiri Marekani inatania, vilio vimeanza kusikika ndani na nje ya bunge

    Huyu kipara makurega wa kike kachoka hana jipya
  11. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

    We usituharibie dili Sie huku kwetu shati la mtumba la buku karume mtu analima 10*10 Heka unalima kwa buku 7*2 shi kumi na tano.! Nb: chunga komwe lako litaleta maafa
  12. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Hapana, wakati nipo mdogo nilikuwa naota mabawa naruka wananizoom kwa mbali 'yulee Nayeyaa' Siku hizi uzeeni nikitaka kuruka wananicheka wanajua nadondoka na Kweli.!🤭 Yaani ile siruki nyumba mbili hawa hapa🤗
  13. ManchoG

    JamiiForums Tanzania Changamoto za mahusiano

    Kumbe inafikiaga hivi.! Sema nyie wenye makucha ya kubandika kama mwewe.! Kila boxa ya mume anafua Dada utashuhudia lini hili
Back
Top Bottom