Recent content by Mananta1987

  1. Mananta1987

    Naomba kujua jinsi ya kusafisha silver

    Hii ya majivu iko poa sana yaani silver yangu imependeza mpaka raha asanteni sana kwa elimu Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  2. Mananta1987

    Naweza kuipata wapi dawa ya kunguni?

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  3. Mananta1987

    Naweza kuipata wapi dawa ya kunguni?

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  4. Mananta1987

    Naweza kuipata wapi dawa ya kunguni?

    No kweli kabisa.. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  5. Mananta1987

    Naweza kuipata wapi dawa ya kunguni?

    Sabuni ya unga inafanya kazi chukua sabuni ya unga changanya na maji halafu. Pulizia kwenye kunguni.. Utaona kunguni anavyokufa.. Anakufa style ya mbuzi kagoma[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Si utani ndugu jaribu Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  6. Mananta1987

    Naweza kuipata wapi dawa ya kunguni?

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1].eti wanakuchukia yote kwa yote hiyo dawa nimeielewa nimeijaribu wanadadedi aisee... Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  7. Mananta1987

    Naweza kuipata wapi dawa ya kunguni?

    Hii nimeielewa haina ghalama na inafanya kazi kweli umenipa bonge la mbinu asante ndugu. Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
  8. Mananta1987

    Ukweli kuhusu baadhi ya mabinti wa kilokole

    Hivi inashukua mda gani binti WA kilokole kutoa jibu pale unapokuwa umemtaka muwe wachumba...
  9. Mananta1987

    GE2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

    Dah nataka nipost kidole changu fb baada ya kutoka kupiga kura nakuta haifunguki. Nikasema basi niende whatsaap na kwenyewe kimya. Nikaona niulize jamii forum jibu nimepata. Sijutii kuwa na jamii forumi mambo mengi najifunzaga humu..
  10. Mananta1987

    GE2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

    Hata mm mpaka nimeshangaa. Haifunguki fb WhatsApp SMS wala picha haziendi
  11. Mananta1987

    Jifunze kubet kwenye Basketball, ni afadhali sanaa kuliko Football

    Kuna mtu anayebet kwenye .. Anusaidie kunielewesha kidogo
  12. Mananta1987

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwa hiyo wastani uwe na GB ngapi
Back
Top Bottom