huyu zambi anaongea upuuzi mtupu eti haoni mtu wa kuwa rais kutoka upinzani!!wananchi ndo tutaamua na mwenyekiti wao ameishawambia waache kutegemea polisi
haya ndo matatizo nimejaribu kuweka inagoma matokeo yake wananitumia sms ya kuniomba msamaha huku wananiambia ninunue vocha kwa kutumia huduma lao lile linalofanana na benk,wanafikiri kila mtu anaweka pesa kwenye hayo mahuduma yao yenye makato yasioeleweka,mamlaka ziko wapi?
ni nayo ya voda nauza bei ndogo tu sababu ya kuuzi nililetewa nyingine wakati ya mwanzo nilishapata anayehitaji ani pm au anipatie namba yake nimpe tuwasiliane
Hawa jamaa ni magumashi makumira ndo main campus lkn ada ya makumira ni ndogo kulinganisha ya dar,kambi ya upinzani ilishamulika hichi chuo kuhusu ada ila ndo hivyo tena serikali sikivu inasikia ila haielewi,TCU mko wapi nyie si ndo wasimamizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.