Recent content by man_fire

  1. M

    TAKUKURU kupeleka tuhuma za rushwa dhidi ya Edward Lowassa kamati ya maadili CCM

    Duh utafikiri wewe mke mdogo wa EL povu kila mara linakujaaa mdomoni hatari sana
  2. M

    Lowassa: Nimeishafunga magoli ya urais

    Alianza na shetani atamaliza na shetani....acha mzaha na Mungu toka lini Mungu akawa pamoja na jizi
  3. M

    Lowassa ni pasua kichwa

    Umetisha sana
  4. M

    Kuhusu Hisa, sina uelewa

    Jamani kwa mtu anayeelewa kuhusu ununuaji wa hisa na faida zake nikingeomba anieleweshe. Mfano nikinunua hisa za million 5 kwa muda wa miaka miwili naweza pata faida kiasi gani?
  5. M

    Msaada: Utumaji pesa kwa kutumia Western Union

    Mie huwa natumia moneygram makato yao si makubwa, ila western union na express money makato yao hunikimbiza hasa unapotuma kiasi kikubwa cha pesa
  6. M

    Mke wangu anakwaa pipa Rasmi Leo kwenda Ughaibuni

    Hahahaha imebidi nicheke
  7. M

    Fikra kikwazo kikubwa Tanzania

    Uko sawa kabisa
  8. M

    Jokate amlipua Diamond

    Nahisi yatakuwa wamemwingia labda ajichetue
Back
Top Bottom