Recent content by Man Opposite

  1. M

    Mkopo wanafunzi

    Jaman mtu aloahilisha mwaka akaandika na barua ya kusitisha mkopo wake akitaka arudishiwe coz anataka kuendelea na shule anafata procedure gan??? Help plz!!!!
  2. M

    Ving'amuzi vya Azam kuanza kusambaa karibuni...

    Kweli ii nouma!!! Ngoja 2subir utam utam...
  3. M

    Update:KUANDAMA KWA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI.

    Ijuma5 Inshallah is the first Ramadhan dei
  4. M

    Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

    Tushawachoka nyie TDFA yan mnakua ka'hamjielew!!! mlikua wap kutoa taarifa hiyo toka mapema coz kuna mass media kibao na watu wameanza kutumia mafuta hayo toka kitambo san.. mnasubir mpaka sabasaba!! Achen izo na ifikie stage mjitambue.. AU mna sababu zenu zngne mnakua mnasubir mpaka watu...
  5. M

    Sitaisahau serikali ya ccm hata itapotoka madarakani

    Imenishangaza sana serikali ya namna hii, yani inashindwa kuwapa wanafunz loan wasome eti wanasema kwamba serikali haina hela!!!, af wanapat hela za kuwalipa DOWANS na RICHMOND!!!!!!!!! Hiv kweli serikali hiii iliyo na rasilimali nyingi namna hii inashindwa kuwasomesha wanafunzi...
Back
Top Bottom