Recent content by Man in a mirror

  1. Man in a mirror

    Je, wako wapi wakongwe hawa?

    Hafsa Kazinja nimemfundisha alikuwa ana-reseat mwaka 2016 kuna center moja pale Tabata savannah.
  2. Man in a mirror

    Karibu tukuhudumie

    Tupigie kwa namba zilizopo hapo kwenye Tangazo. Tupo Dar es salaam lakini tunahudumia mikoa yote
  3. Man in a mirror

    Hakuna binadamu anayekupenda kwa dhati

    Mama yangu mzazi alinipenda sana na akawa anaongea na mimi muda mwingi na kuniombea sana. Leo pesa zimeisha hata nikipiga simu wanapewa watoto wa marehemu dada yangu waongee (shikamo mama.... jibu; ongea na wajomba zako mimi sina cha kuongea na wewe). nikienda kijijini hata chakula wakiivisha...
  4. Man in a mirror

    Mimi ni muumini wa mfumo Dume

    Liberia imepiga hatua gani mkuu?? Mbona iko kwenye nchi kumi maskini zaidi duniani??
  5. Man in a mirror

    Wanawake kuweni makini

    Tunajenga tabia na kisha tabia zinatujenga na kutufikisha kusikofaa, tunapaswa kufahamu tamaa za kimwili au rasilimali fedha na nyinginezo hazina Ukomo. Madhila ya kuendekeza hizi tamaa za ajabu ajabu ni makubwa mno pengine yanaweza kudumaza ustawi na hata kuharibu mustakabali wa ndoa zetu...
  6. Man in a mirror

    Serikali ielekeze jicho kwenye upotoshaji unaofanywa na mchungaji Boniphace Mwamposa

    Ni wazi katiba yetu imetoa uhuru wa kuabudu na uvumilivu miongoni mwa waamini wa dini na madhehebu yake kwa lengo jema na nia safi. Viongozi wa dini na waumini kwa imani zao wamepewa uhuru huu. Sina nia mbaya lakini hili limenigusa kama Mtanzania ninayependa ustawi wa watanzania na taifa kwa...
  7. Man in a mirror

    Feeling tamu, kumkuta mkeo akikupikia huku amevaa shati lako oversize!

    Utarudi hapa siku ukilikuta lijamaa limemvaa mke wako huku akiwa analipikia
Back
Top Bottom