Recent content by Man 4 Move

  1. M

    Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

    waache ujinga vijana wetu watachezea wapi mpira? wao wajue wazi kuwa hila zao zote dhidi ya cdm ni bure,wakati huu Mungu yupo na cdm na sio mafisadi
  2. M

    Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

    hawa jamaaa na mapolisi wao ipo siku wataja jua kuwa wao ni shida sana katika jamii
  3. M

    Mtatiro: Madaktari waliomwangukia JK ni wasanii

    Wale madaktari ni Magumashi kabisa,sasa washitakiwe kwa kukiri kosa.
  4. M

    Mume wa mtu kaning'ang'ania......

    Mpe game!!!!!!!!!!!!!!!
  5. M

    CHADEMA kutumia Helkopta nne katika M4C kushambulia mikoa yote Tanzania

    Alafu wewe unafikiri kwa makalio. CDM ina watu wanaomiliki helikopter. Ila kwakuwa wewe ni mchumia tumbo huwezi kuwa na fikra wala umakini wa cdm peoplessssssssssssssss!!!!!! Sasa tunatoa helikopter nyingi tu kazi ifanyike,na huu ndio wajibu halali wa chama chochote cha kisiasa.
  6. M

    CHADEMA kutumia Helkopta nne katika M4C kushambulia mikoa yote Tanzania

    Sisi ndio tuliotoa na tunaendelea kutoa ili zitumike helikopta zingine. Ninyi mafisadi wa kiccm ccm mmefilisi nchi na hamtaki watu waelimishwe. SASA kimenuka kila kona!
  7. M

    CHADEMA si kimbilio la wasomi!

    Sasa hao wasomi wa kiccm ccm wameifanyia nini nchi hii zaidi nya kujilimbikizia mali? Je walioichagua ccm miaka yote ni wasomi? Acha upambafu pambafu!!!!!!!!!!!!!!!
  8. M

    Kamanda Kamuhanda kuhamishwa Iringa, yadaiwa chanzo ni mauaji ya Mwangosi!

    Anayemhamisha na anayehamishwa one day they will be going to their home"the hague"
  9. M

    Mhariri Mtanzania: Kwa siasa za shari, CHADEMA kinajifuta; marehemu alikuwa akiifanyia kazi CHADEMA

    Wewe ni fisadi kama mafisadi wengine,tena naona ni fisadi papa! Wanaoua ni polisi na ndio maana polisi wa Iringa amefukuzwa kazi na kufunguliwa kesi ya kuua tena kwa kukusudia,kama walioua ni cdm ninyi si mna dola si muwakamate na kuwafunfulia mashitaka. "Freedom is comming tommorrow only time...
Back
Top Bottom