nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Hatumlaumu Kisukari ila tunampa ushauri kuwa yeye hapo ndio mwenye hasara (Rejea uzi wa mzizi mkavu). Hakuna atakacho gain whether mwenye makosa ni yeye au hilo libaba. Mfano anapoteza chance za kupata right partner kwa kukubali kugandwa na hilo libaba whether walisha du au la...maana unategemea jamii inayowaona close itakubali story za kuwa bado wako kwenye process. Kwa kifupi hicho ni kiwingu na kuchafua CV. Huyo mwanaume ana CV gani ya kuchafua? kama mke anaye...maisha kamaliza...Yeye bishosti?
Vile vile haina maana kumlaumu mwanaume pia kwa kuwa siyo aliyeomba ushauri. Na hatujuhi kwa umri alonao hata kama anajua kuna kitu kinaitwa JF. Lol.
Vile vile haina maana kumlaumu mwanaume pia kwa kuwa siyo aliyeomba ushauri. Na hatujuhi kwa umri alonao hata kama anajua kuna kitu kinaitwa JF. Lol.
msimlaumu huyu dada,na huyo mwanamume jee,ambae anajua anaelewana na mke wake pamoja na mtoto wake.inaonyesha ni mtu mzima kabisa,ila amekosa heshima.bi dada mrekodi,likija kubumbuluka,wewe ndio utaonekana mbaya