MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,003
bora tutapumua
Pole sana. Mwambieni Tendwa akifute ili mlale kabisa.
bora tutapumua
Pole sana. Mwambieni Tendwa akifute ili mlale kabisa.
si rahisi kupata jibu, sanasana utaambiwa Taarifa za Kiintelejinsia zinaonyesha huu uwanja hauna manufaa kwa wana-Arusha.Sababu ya kuufunga ni nini?????
View attachment 65414View attachment 65415 View attachment 65416 View attachment 65417 View attachment 65418
hivi ndivyo palivyo NMC leo.......
nasikia wanajenga soko la wafanya biashara ndogo ndogo....
Alternative ni Viwanja vya reli (mahali fulani nyuma ya Shoprite), Ngaranaro shule ya msingi (oopsKweli?......................Hakuna alternative ya uwanja mwingine?..................so unfair
ujuzwe nini na wewe kama vp si muulize nape,na kama mnaweza fungeni na jf muoneUmefungwa kwa sababu gani na utafunguliwa lini tujuze.
kumbe CDM ikiwa kazini hampumui eeh?
ujuzwe nini na wewe kama vp si muulize nape,na kama mnaweza fungeni na jf muone
Alternative ni Viwanja vya reli (mahali fulani nyuma ya Shoprite), Ngaranaro shule ya msingi (oops
watoto wanafanya mtihani); stadium (au kuna mechi?); Kaloleni mviringo! Nina uhakika kuwa mahali patapatikana tu. Penye njia pana njia!
Uwanja wa nmc jijin arusha umefungwa rasmi kwa kile kinachodaiwa ni kuizima chadema jijini arusha. KUfungwa kwa uwanja huo ni siku moja kabla ya rufaa ya mbunge lema na wakati ambapo chadema ilitarajia kufanya mkutano wake katika uwanja huo hii leo.
Wewe ni Chadema-Kata nimekusamehe.we jamaa mnafiki sana,go and ask ur boss!!
Kweli?......................Hakuna alternative ya uwanja mwingine?..................so unfair