Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
haya ndiyo maneno ya JULIUS MTATIRO wa CUF NGANGARI kuhusu ishu ya madokta na serikali ya JK
[h=5]
"Kwa mtizamo na uzoefu wangu, walikuwa wanatengeneza sinema, kwa vyovyote vile kama serikali ilivyowalipa usalama wa taifa na wahuni wam-mwakyembe DR. ULIMBOKA, ndivyo hivyo wamewalipa baadhi ya makada wa CCM ambao ni madaktari wanafunzi ili wajivishe vyeo vya uongo na ukweli ili kudanganya umma.
Najua wanatumikia matumbo yao masikini na wanajaribu kusaliti mapambano ya kudai haki zao wenyewe.
Wakati nikiwa naongoza vyuo vikuu Tanzania kama katibu mkuu, kuna wakati tuliongoza mgomo kudai mikopo iboreshwe nchi nzima, tukafukuzwa CHUO, wakati tuko majumbani, CCM ikawachukua makada wake wanafunzi na kumtumia kiongozi mmoja aliyetusaliti akatangaza ati KWA NIABA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU ANAMUOMBA RADHI RAIS WA NCHI......
Leo jamaa huyo amelipwa mshahara wa kutumia tumbo lake, amepewa ukuu wa wilaya na bwana mkubwa....matumbo yanaua fikra pevu za vijana, vijana wanakosa mwelekeo kabisa.
Na utakuta hawa madaktari wa jana ati wameahidiwa kupewa GX 100, kusomeshwa nje ya nchi, kupewa nyadhifa nzuri au utakuta wamepewa milioni mojamoja tu. Masikini wa mungu!
Bahati ya pekee iliyopo ni kuwa CCM haitawadanganya watanzania wote wakati wote."
sourcen his page ,facebook
[/h]
[h=5]
"Kwa mtizamo na uzoefu wangu, walikuwa wanatengeneza sinema, kwa vyovyote vile kama serikali ilivyowalipa usalama wa taifa na wahuni wam-mwakyembe DR. ULIMBOKA, ndivyo hivyo wamewalipa baadhi ya makada wa CCM ambao ni madaktari wanafunzi ili wajivishe vyeo vya uongo na ukweli ili kudanganya umma.
Najua wanatumikia matumbo yao masikini na wanajaribu kusaliti mapambano ya kudai haki zao wenyewe.
Wakati nikiwa naongoza vyuo vikuu Tanzania kama katibu mkuu, kuna wakati tuliongoza mgomo kudai mikopo iboreshwe nchi nzima, tukafukuzwa CHUO, wakati tuko majumbani, CCM ikawachukua makada wake wanafunzi na kumtumia kiongozi mmoja aliyetusaliti akatangaza ati KWA NIABA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU ANAMUOMBA RADHI RAIS WA NCHI......
Leo jamaa huyo amelipwa mshahara wa kutumia tumbo lake, amepewa ukuu wa wilaya na bwana mkubwa....matumbo yanaua fikra pevu za vijana, vijana wanakosa mwelekeo kabisa.
Na utakuta hawa madaktari wa jana ati wameahidiwa kupewa GX 100, kusomeshwa nje ya nchi, kupewa nyadhifa nzuri au utakuta wamepewa milioni mojamoja tu. Masikini wa mungu!
Bahati ya pekee iliyopo ni kuwa CCM haitawadanganya watanzania wote wakati wote."
sourcen his page ,facebook
[/h]