Habari zenu,
Naomba wenye uelewa wa haya mambo ya Serikali mtoe ideas kuhusu swala zima la mtu kutaka kuhama kabla ya kuthibitishwa kazini, hii imekaaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwaka mmoja maana kuna mtu namfaham ameitwa pdf la katikat ya wiki iliyopita ni data base na alifanya mtihan mwez wa 9 mwaka jana na katika muongozo wao ni mwaka 1
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.