Recent content by mamwa

  1. M

    Edo Kumwembe ni nani?

    ok kumbe, asante mkuu
  2. M

    Edo Kumwembe ni nani?

    Naomba tu kumfahamu huyu jamaa ni nani katika siasa maana nimeona groups mbali mbali whatsup wakinakili alichokipost. Simfahamu, nataka kumfahamu ni nani?
  3. M

    Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

    ni kweli hata mimi naliona hilo ila kweli mnyika ni mbunge pamoja na kukatishwa tamaa jamaa ana hoja nzuri
  4. M

    Nafundisha Marubani kienyeji

    ili waendeshe ndege kienyeji?
  5. M

    Hawa ndio baadhi ya wanaJF na tabia zao halisi

    du. sehemu kubwa umepatia.
  6. M

    Nafasi za ualimu awamu ya pili out! Tembelea TAMISEMI

    Zishatoka tayari kama hujapata tena no way mshukuru Mungu tu kwa kila jambo. Na kama umepata rudi hapa useme asante Mungu. USHAURI: Nendeni mkafanye kazi!
  7. M

    Ajira za ualimu zimetolewa tena rasmi

    sasa malalamiko naimani yameisha nendeni mkapige kazi. ingia tamisemi uhakiki then ukariport.
  8. M

    Anasema kanimisi kimapenzi,lakini ana H.I.V positive. Nifanyaje?

    hahahaaaaa.... Mgirik umefanya nicheke peke yangu dah ushauri wako hatari
  9. M

    Natafuta kazi ya uandishi wa habari

    ingia zoom tanzania kuna mwandishi anatakiwa ebony fm.
  10. M

    Usia kwa Walimu 2014/2015

    mmh haya mkuu
  11. M

    Ajira za ualimu 2015 ni pigo la wengi

    umesahau no:27 27. Nitatoa majina ya ajira mpya ifikapo tarehe 25 .then hiyo tarehe hayakuonekana
Back
Top Bottom