unapaswa utafakari, kwanini kila kiongozi makini anatoka ukawa na kila kiongozi ambae mwenye uchu wa madaraka amekatwa ccm anahamia ukawa, kutoka kwao kwa wewe kwa sababu unapingana na ukweli utaona hakuna shida lakini kwa mwenye uelewa na mtu makini atajiuliza kuna nini? naamini utafikiria
huo ni mpango mkakati wa vijana wa chadema ambao nafasi zao zimechukulia na kundi ambalo ndio vinara wa kampeni za lowassa kitu ambacho kimewafanya vijana hao kukosa maslahi na kuamua kutoa hiyo video kama pay back. tunawaomba muache hiyo tabia yakudhalilisha mama zetu na kututukana...
mtoto wa masikini kalinde kura mtoto wa lowassa yuko zake anakula maisha wakati wewe umeumia uko jela,familia yako inateseka kukuhudumia wakati huo yeye hakutambui.TAFAKARI
huna upofu, unaona lakini umeyafumba macho ukituaminisha hauoni, hivi kuna mtanzania hawajui watoto wa lowassa, kuna mtanzania hafahamu wizi alofanya lowassa katika nchi hii, namuahidi lowassa alikatwa 1995, akakatwa tena 2015 mimi namstaafisha siasa kabisa oct 25
kwenda na speed ya maendeleo, kunahitajika akili mpya na changa za kufikiria zaidi ya pale ambapo wazee ukomo wao wakufikiri umeishia hapo, naunga mkono kuondoka kwa wazee na vijana kuchukua nafasi hizo kuendesha chama.
Inashangaza Watanzania ambao wanashabikia kiongozi kama lowaa ni fisadi mkubwa kama yeye hakuna mfano, ranchi walizopewa wananchi anajimilikisha yeye na familia yake, ardhi amepora kila dili yeye anahusika, atakua ni kiongozi wa aina gani.siwezi kumkabidhi fisi bucha.
ukikumbatia nyuki jiandae kutoka manundu, chadem wamekumbatia nyuki kinachafuata ni manundu tuh, waya vumilie mpaka watakapo tua hilo zigo wajijenge upya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.