Cdm wasahaulifu sana, kwenye list of shame fisadi namba 1 ni nani?
Cdm wasahaulifu sana, kwenye list of shame fisadi namba 1 ni nani?
Lazima ahukumiwe na kufungwa baada ya Dr Magufuli kuwa rais. Huyo ni jambazi, mwizi, fisadi, muomngo lagai, mtoa rushwa kanunua chadema..Semeni yote yaishe muanze Mwanza Lowassa ndo rais.
Ingekuwa china serikali yote ya magamba wangevaa kitanzi.
Lazima ahukumiwe na kufungwa baada ya Dr Magufuli kuwa rais. Huyo ni jambazi, mwizi, fisadi, muomngo lagai, mtoa rushwa kanunua chadema na anataka kumuua dr slaa
Nashangaa kwa nn anagombea wakat ana kashfa
magufuli anafaa siyo fisadi na hana marafiki mafisadiLowassa hafai. Nani anafaa?