China isingemchelewesha Lowassa

Sijui kama mmiliki wa TANGOLD,ANBEN,waliokomba ESCROW,EPA,MABEHEWA CHAKAVU,RADA MBOVU,WALIOFICHA HELA NJE,WAUZA MADAWA YA KULEVYA NA WAUZA PEMBE ZA NDOVU wangesalimika,muanzisha uzi una husda,mpaka kufika OCT 26,2015 RAIS WAKO atakuwa EDWARD NGONYAI LOWASA penda usipende,tafuta chaka la kujificha
Cdm wasahaulifu sana, kwenye list of shame fisadi namba 1 ni nani?
 
Haya tunataka na majina ya walio takatisha hela za escro! Nyumba za serikali kuuzwa siyo kashfa?
 
Inashangaza Watanzania ambao wanashabikia kiongozi kama lowaa ni fisadi mkubwa kama yeye hakuna mfano, ranchi walizopewa wananchi anajimilikisha yeye na familia yake, ardhi amepora kila dili yeye anahusika, atakua ni kiongozi wa aina gani.siwezi kumkabidhi fisi bucha.
 
Hivi Ufisadi nchi hii umefanywa na Lowassa tu?

Hivi baada ya Lowassa kustaafu Uwaziri Mkuu hakuna kashfa zozote za kifisadi zilizoendelea nchi hii?

Hivi mpaka ufisadi mkubwa wa mabilioni ya fedha ufanikiwe, utakuwa unamuhusisha mtu mmoja tu na wala sio chain nzima?

Hebu tujiulize hayo maswali hapo juu, kisha tuendelee kutafakari?
 
Kwanini Richmond tu ya tangu 2008, mbona Escrow ya 2014 haizungumziwi
 
Mbona hukumpeleka court wakati sheria inakuruhusu? Unakuja hapa blaa blaa blaa,hizo shutma za kisiasa haziwezi kusaidia, kumzuiya asiwe Rais. Katiba inamruhusu..
 
Kweli hiki ni kituko cha mwaka mtu mwenye kashfa anagombania urais, Tanzania tunapaswa kubadilika kuondokana na ujinga huu kiukweli tumepotea, nina uhakika hata majirani zetu watakua wanatucheka kumshabikia mtu ambae ameshiriki katika matukio mengi ya wizi, uporaji wa mali z umma.
 
Badala ya kulaumu Chadema na Lowasa kumpitisha Lowasa/yeye kugomea urais wakati ni fisadi tungelaumu serikali ya CCM kuhalalisha jambo hili.
 
ingekuwa marekani angefungwa,lakini kwa vile aliogopwa na serikali sisi tutaiadibu serikali ya ccm kwa kutumia huyu mfisadi mnayemtamka tu lakini mnaogopa kumshtaki.
 
Chenge , Sitta, Tibaijuka, Mwakyembe, Majaji wa Mahakama , Muikulu na mwanae, . mbona majonzi makubwa
 
Mbona haujajiuliza kama wa China wanafuata sheria kwa nini hawakumnyonga Prince baada ya kuhongwa gesi yetu?
 
Ninyi ma Ccm mnamatatizo sana dola ni yakwenu mbona na ninyi mmekuwa watu wa kulalamika juu ya Lowassa badala ya kuchukua hatua juu yake/Nina jibu juu yenu ninyi ni wanafiki munajitaidi kumhalibia Edo ili et asiweze kuwa Rais wa nchi hii huko ni kubaka demokrasia.Tuhuma aziwezi zikasababisha mtz halali asigombee urais, Kwa nini mnang"ang"ania kutuhumu na msiende kumshtaki mahakamani ili angelikuwa tayari kashakabiliwa na kesi na kama hukumu ingekuwa imetoka juu yake na ingelikuwa imeshaelewekah hukumu ingembana?

Sasa niny mnasambaza unafiki juu ya mzee wa watu. mm binafs mliniaminisha juu ya tuhuma mlizo m bambikia mzee huyu ila kwa jinsi mambo wanavyo yafanya ma ccm sasa ivi juu ya mzee huyu sasa nimerudi kumuamini mzee huyu ma ccm kupitia H Mwakyembe ninyi ni wanafiki sana amfai hata kidogo. TATIZO NI UWAZIRI MKUU. kamati ya mwakyembe kwa nini haikumuhoji Lowassa?.

Mimi ninaamini hii nchi ni ya wa tz wote na Rais sio lazima atoke ccm.ccm hakuna ambae co mwizi watu wamingia maskini leo hii matajili wa kupindukia tunaona na barthday kila mwaka hapo hapo sio sehemu ya barthday hapo ni sehemu ya kufanya kazi kuhakikisha usawa katika maisha ya wa tz unakuwepo katka maji, afya, elimu, ulinzi,nk.

MA CCM ACHENI UNAFIKI
 
Back
Top Bottom