unairamba nguo kidogo tu kiaina ili kuuzaji asije akakunasa...maana mwengine akakushangaa na kutafsiri vibaya! ukiona inavijichumvi ujue hiyo inachujaaaa haifaiiii.....hasa hivi vijora batiki n.k!
kanipuuzia tu....biz huwa haziiishi! hatumi msg hapigi cm na ukipiga anapokea anasema yuko biz ukituma msg anajibu short! mmembeleza sana nmemuuliza sana naona hanipi jibu linaloeleweka! nami nmempotezeaaa mwezi sasa
Hii biashara unalipa hasa km utakuwa unakaa mwenyewe dukani! kwani faida yake ni hizo 50 na mia mia...ukimueka mtu kila siku akichukua buku 5 atakuuwa! kaa mwenyewe utaenjoy biashara..pia usiwe na tabia yakufunga funga duka mara kwa mara! hakikisha unafungua duka mapema na unachelewa kufunga...
Habari zenu?
Mimi ni mwanamke mjasiriamali biashara yangu ni ya kuuza askirimu hizi za uswazi za mia mia! nashkuru Mungu inanisaidia, nataka niweke some improvements katika utengenezaji kwani nataka nipate urahisi kutengeneza.
Kipindi ndio naanza nilikuwa nafunga kwa vifundo juu baada ya...
habari zenu? je naweza kupata mashine ambayo nitakuwa natengeneza askirimu zangu (hizi za kienyeji za vifuko za mia mia)!?
mashine ambayo nitakuwa naeka juice yangu na waraka then iwe inajifyatua yenyewe kuzifunga zile askirimu?
naombeni msaada
tena watoto wadogo wa siku hizi wana payo kweli! kitoto kidogo miaka 16 kinatembea na mibaba mitu mizima age ya 40! k zmelegeaaaaa kwa kubadilisha wababa kila siku!
kutanuka kwa k kunategemea na matunzo jins yakuisafisha kufanya mazoezi na kuituliza kwa mwanaume mmoja! sio kila cku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.