Recent content by Mamsosa

  1. Mamsosa

    Kaniacha kisa jana nimelala lock up.

    Unahisi demu wako ni mmoja kati yetu humu?
  2. Mamsosa

    Unamwombaje penzi mke/mume wako baada ya kuingia chumbani?

    Mama bhooke njoo nikurenge mura!
  3. Mamsosa

    Kijana wa Dar Vs Kijana wa Kisukuma

    Karibu...na wewe pia
  4. Mamsosa

    Huyu ndo tulikua tunamwita kafungua nchi?

    Wewe ni shoga?
  5. Mamsosa

    Huyu ndo tulikua tunamwita kafungua nchi?

    Jifunze kuandika na kusoma kwanza ndipo ujieleze! Kuniita mpumbavu ama mwerevu hakuniongezei wala kunipunguzia utu wangu, chamsingi kama umri wako umeshapita balehe ama umevunja ungo basi ni dhahiri una kasoro toka mchakato mumba hadi kuzaliwa kwako. Pole kwa hasara waliyopata wazazi waluokuzaa!
  6. Mamsosa

    PreGE2025 Shangwe la Wafugaji: Chanjo Milioni 77 na Hereni Milioni 37 kutolewa bure na Serikali, Wafugaji wadai hawana deni tena na Mama Samia

    Tusubiri atoe shanga na lipstick kwa mbuzi na kondoo wote nchini kisha atawale hadi afie madarakani
  7. Mamsosa

    Huyu ndo tulikua tunamwita kafungua nchi?

    Kwanini usianzishe jukwaa lako ukawaalika maprofesa wenzio mjadili tasnifu za kisomi badala ya kutumia jukwaa letu kukutukuna?
  8. Mamsosa

    Jesca Magufuli ametengenezewa jimbo la Katoro?

    "Popote atakapochua fomu hana mpinzani" Kampeni tayari! Wagawe na Ikulu awe Rais wa Tanzania vijijini
  9. Mamsosa

    Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Mawazo yako yako ni ya enzi za kijima! Dunia ya sasa kiteknolojia sii ile ya karne ya 16. Kinachokukwaza si mwanaume kuweka status bali ni contents za status husika, usichanganye vitu hivi.
  10. Mamsosa

    Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Ni mtizamo wako.. Kuna watu mnachukizwa tu na mambo yasiyo ya msingi, mfano mwenzio akinenepa roho inakuuma. Mwenzio akufanikuwa unaumia , mwenzio akitingisha tako wakati wewe huna kishudu unaumia so si jambo jipya la kuhitaji mjadala wa kitaifa.
  11. Mamsosa

    Mpenzi wangu ameniambia Yuko single

    Mtafutue kazi mpenzi wake ili imkeep busy akuachie mpenzi wako!
  12. Mamsosa

    PreGE2025 Polisi waenda Hoteli ya Serena kutaka kumkamata Mpiga picha na Mwanaharakati Kenya Boniface Mwangi ikihusishwa na kesi ya Lissu

    Labda jela za mbinguni..kwa mwenendo wa serikali hii Samia anatanani polisi wangekua miti ya miiba ili aioteshe kila mahali kudhibiti wote wenye mawazo mbadala na yake/wanaimvimbisha bichwa. Sina ubaya na huyu mama ila kuna jambo haliko sawa kwa timu yake inayomzunguka.
  13. Mamsosa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Raia wa nchi nyingine kufanya siasa? Rubbish.... Kachome familia yako moto kisha ushikie majirani jambia wakati wanakuja kuuzima kwa kigezo cha kuingiliwa mambo yako ya kifamilia! Jinga kabisa
Back
Top Bottom