Msiwe na akili fupi mkamdanganya Zitto kwamba anakubalika!Zitto anapotea kwenye jukwaa la siasa za Tanzania muda si mrefu!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Acheni unafiki CCM!Zitto alikuwa hakubaliki hata Jimboni kwake kama hamna habari!Uchaguzi wa 2010 alinusurika hilo linaeleweka!Acheni kumpa kichwa!!Zitto unamalizwa kisiasa na CCM!!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Upuuuuzi hatudanganyiki!CCM hamna jipya kwenye hii nchi!!Mwisho wenu 2015 hata mruke vipi kazi imekwisha!!!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hakuna anayeikubali CCM zaidi ya hawa mamluki mnaowatoa huko vijijini na kuwarubuni kwa elfu 5!!CCM ndio mwisho wao!acheni unafiki wa picha!!Inamaana kila mtu ni mwananchama wa CCM???Mmekwisha anzeni kuachia nchi!!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.