Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
hichi kibabu ndio mana kilifukuzwa na pengo
Mi nawaambia,kibabu hiki kina roho mbaya sana! Hakifai hata kupewa uenyekiti wa kijiji! Kizee kiko tayari hata zito afe ili kifurahi! Kizee kiko tayari hata damu imwagike ili mradi kionyeshe kwamba kinaweza kuwadhalilosha wote waliompa Kura ZZK! Huyu mzee ndio maana kazi ya Mungu ilimshinda! Eti kanajifananisha na Madiba! Ovyooo!