Taswira acha kudanganya umma,watu walisombwa kwa ujira wa tsh 30,000/- kama unabisha tembelea maeneo ya kabwe,mwanjelwa walikosombwa vijana wengi kaulize utapata majibu na baada ya kutoka huko walilewa sana na kuanza kuimba nyimbo za Chadema,Chadema,Chadema peoples power!!!!! Wengi wakisema tunakula CCM tunalala Chadema.. Hao wanawake wawili mwishoni wanaopiga picha mmoja ni changudoa maarufu hapa mjini anamiliki grocery inaitwa vumilia naye ni mmoja wa waliosombwa kupelekwa mkutanoni kwa ujira wa 30,000/-
pole sana kijana najua inauma sana, lakini kazeni roho mmeze mifupa. Hizi ndizo dira za siasa. kosa la cdm ni front line yake ni mbovu sana, sasa jitu kama lile jizi la magari litaweza kuleta lipi la maendeleo. Ama yule padre aliyeshindwa kuutuliza uume wake mbele ya mungu, na akaisaliti dini kwa kudandilia bibi za watu. mtu unamdanganya mungu na hao binadamu atawafanyaje.