Recent content by Mamlukii

  1. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa RSF ya Sudan wapokea msaada wa intelijensia na vifaa kutoka Israel

    hawa jamaa wamekaa kama wasomali kila kukicha wanauwana wenyewe kwa wenyewe
  2. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Kilichobaki Sasa nipate mke nioe

    Yah apo kilichobaki uweke nyama ndani uwe unaipiga mda unaotaka full kujifaragua
  3. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Records zinaonesha waliotekwa wote kama ivo asilimia kubwa hawakuonekana tena au zimeonekana maiti zao
  4. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    RIP dada rose so sad kaenda mdogo sana
  5. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtanganyika mwingine mwenye ujasiri?

    Watanganyika mumeyakanyaga na bado apo mama hajaingia miaka yake 10
  6. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Eneo la shule kuwekwa maduka

    Hii nchi kila sehemu mifremu tu au uchumi umekua?
  7. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Mara: Walimu sita wa kidato cha Sita mbaroni kwa mauaji ya mwanafunzi wao

    Duhh miaka 23 bado upo shule na viboko unachapwa mtihani
  8. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Jamaa nahisi alimshushia kichapo cha nguvu lakini hakumfanyia kitendo kibaya
  9. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa kuchepuka na vijana wadogo?

    Kuna kishangaz kimoja nakiwinda hapa mtaani kina kishundu cha mbali nakitaftia timing kwa vizawadi na maneno matam kashaanza kunipa stori za ndani kwake
  10. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kila nikikutana na nyuzi kama hizi nakumbuka ile video ya jamaa mayombi umeamua kunitobea mke wangu mayombi 😁😁
  11. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Alijidai fundi jikoni, akaaibika mbele ya wageni wake. Umewahi pika chakula kibaya?

    Ndio mana mnaambiwa wafundisheni watoto wenu kupika wakiwa wadogo kuepusha aibu kama hizi
  12. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Kama marekani ana nguvu muachie aingie iran
  13. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Uyo jamaa itakua yeye katapeliwa alafu akaamua kuingia mitini
  14. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Mchina anakutengezea bidhaa kutokana na pesa yako na hata hivyo inakua bei nafuu kulinganisha na nchi nyengine japokuwa ubora unakua ule ule mchina atabaki kua namba moja
  15. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    kolo ashakua mke wetu kila mechi lazima tumwagie mabao ndani 😁
Back
Top Bottom