Recent content by Mamlukii

  1. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Jamaa nahisi alimshushia kichapo cha nguvu lakini hakumfanyia kitendo kibaya
  2. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa kuchepuka na vijana wadogo?

    Kuna kishangaz kimoja nakiwinda hapa mtaani kina kishundu cha mbali nakitaftia timing kwa vizawadi na maneno matam kashaanza kunipa stori za ndani kwake
  3. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kila nikikutana na nyuzi kama hizi nakumbuka ile video ya jamaa malume umeamua kunitobea mke wangu malume 😁😁
  4. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Alijidai fundi jikoni, akaaibika mbele ya wageni wake. Umewahi pika chakula kibaya?

    Ndio mana mnaambiwa wafundisheni watoto wenu kupika wakiwa wadogo kuepusha aibu kama hizi
  5. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Kama marekani ana nguvu muachie aingie iran
  6. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    Uyo jamaa itakua yeye katapeliwa alafu akaamua kuingia mitini
  7. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Mchina anakutengezea bidhaa kutokana na pesa yako na hata hivyo inakua bei nafuu kulinganisha na nchi nyengine japokuwa ubora unakua ule ule mchina atabaki kua namba moja
  8. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    kolo ashakua mke wetu kila mechi lazima tumwagie mabao ndani 😁
  9. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nataka niuache udomo zege nimechoka

    Na ndio inavokua wale mademu uliokua huwataki ndio wanaokutongoza na uliokua unawataka hawakutaki
  10. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Kama 2PAC alikufa akiwa na miaka 25 basi wenzetu uko USA hupata fursa wakiwa wadogo sana

    Wenzetu wanaishi mtu akifikisha miaka 30 anajihesabu mzee
  11. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Ndugu yetu Jux ameyakanyaga hivi saivi kabakia shingo tu na anaonekana hana furaha
  12. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nataka niuache udomo zege nimechoka

    Mimi siwezi kulewa naona njia pekee itayonisaidia ni kuwambia wazee wanitafutie mke
  13. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Kama mwanamke kashakubali wewe anza nae tu maisha wazee wetu walikuwa hawana chchote zaidi ya banda na tumeishi fresh
  14. Mamlukii

    JamiiForums Tanzania Nataka niuache udomo zege nimechoka

    Eti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na family kama ilivo kawaida kwa kijana wa kiume
Back
Top Bottom