Kuna kishangaz kimoja nakiwinda hapa mtaani kina kishundu cha mbali nakitaftia timing kwa vizawadi na maneno matam kashaanza kunipa stori za ndani kwake
Mchina anakutengezea bidhaa kutokana na pesa yako na hata hivyo inakua bei nafuu kulinganisha na nchi nyengine japokuwa ubora unakua ule ule mchina atabaki kua namba moja
Eti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na family kama ilivo kawaida kwa kijana wa kiume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.