Recent content by Mambo ya fedha

  1. Mambo ya fedha

    Familia ya Mohammed Dewji yatenga Bilioni Moja kwa atakayefanikisha kupatikana kwa Mo

    Tajiri anayekadiriwa kuwa na utajiri wa trillion 3.5 na mwekezaji wa club ya mpira nchini Simba sc kwa billion 20, halafu familia kumwekea offer ya billion 1 kwa atakayetoa habari ya kupatikana kwake ni utani mkubwa… Offer ya tajiri kama huyu ilipaswa isiwe chini ya billion 5
  2. Mambo ya fedha

    Mo Hawezi patikana..

    Mimi naamini atapatikana akiwa hai na mzima wa afya…. Hii drama ni SADAKA YA UPATANISHO NA BABA…. 1. Makontena 2. Mapato duni dhidi ya makao makuu 3. Watoto kutekwa 4. Mwendokasi Labda huyo aliyemteka kahofia nyota yake kufifia, ameamua kusafisha nyota kimtindo… Mimi naamini kabisa MO...
  3. Mambo ya fedha

    Matunda kwa afya bora

    Daah, hatarrr
  4. Mambo ya fedha

    Kumekucha: Je, Marekani inajiandaa kuiadhibu kijeshi Syria?!

    Waniazime kombora moja tu nna kazi nalo huku
  5. Mambo ya fedha

    Am I a loner,selfish?

    Tupo wengi, angalau nimefarijika kusikia nawe ni Kama mimi na Mimi ni kama wewe...
  6. Mambo ya fedha

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Watumiaji wa barabara hii sasa wapo mashakani, ipo siku yatatokea yale ya Mombasa -Kenya... Hatuombei yatokee ila kwakua serekali wamewashindwa hawa jamaa, navigation bado wanaendelea kujiimarisha kwa kuongeza silaha..... Huku watekaji wakiongezewa uwezo na kusahau ya mkuranga.
  7. Mambo ya fedha

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Askari 7 dhidi ya mtu 1! Askari hao Saba kila mmoja alikua na siraha... Duuuh!
  8. Mambo ya fedha

    Mvua hizi na huku mabondeni,nifanye haraka nihamie kwangu tu!!!

    Hiyo ni bonge la ramani,.. Naijua hiyo ramani... 3 bedrooms, 2 toilets, kitchen, dining, sitting na store.. Halafu yenyewe ina mtindo wa chupa cha konyagi
  9. Mambo ya fedha

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Chapa kazi,.. Hapa kazi tu!
  10. Mambo ya fedha

    I wishes were horses

    I wishes were horses.... Mmh!....ngoja ntarudi mkuu
  11. Mambo ya fedha

    Dongo

    Imeishinda dongo la bwana abdala kichwa wazi
  12. Mambo ya fedha

    Natafuta mchumba wa kuweza kuoana na kujenga familia

    Mimi nina hitaji linalofanana na lako,...mimi natafuta kweli kabisa wa kumuoa.. Nimekua nikiingia PM nikiwa serious,.. Lkn nakutana na kidume.. Sasa nikishakuta hilo nachoka, kwakua siko tayari kupakua kidume... Kwahyo kila nionapo post hizi, nakata tamaa
Back
Top Bottom