hio nyumba kama imepinda vile au ni mile kiroba nilixhokunya
Hilo tatizo nililiona mkuu ila fundi akanitoa wasiwasi kwamba ana uzoefu wa kazi kwa miaka mingi sana...unajua mtu na fani yake tena.nyumba imepinda.. fundi anajifunzia ujenzi site hiyo..
anajenga nyumba bila kamba.. anategemea itanyooka kweli??
asante kwa kunisaidia maana nilijua mm ndo tatizo kumbe ni fundiviroba ni huyo fundi amekunywa sio wewe!!
Joints hazijapishana kila baada ya line ya tofali.nyumba imepinda.. fundi anajifunzia ujenzi site hiyo..
anajenga nyumba bila kamba.. anategemea itanyooka kweli??
Watu wanatumia kamba za asilinyumba imepinda.. fundi anajifunzia ujenzi site hiyo..
anajenga nyumba bila kamba.. anategemea itanyooka kweli??
kamba alijifunga kiunoni sasa kaitafuta hakuiona, akasema poatu nitapima na kamba wakati wa kupaua, poa tunyumba imepinda.. fundi anajifunzia ujenzi site hiyo..
anajenga nyumba bila kamba.. anategemea itanyooka kweli??