Nimekuja nitonye, huyu Erik ameshindwa kwa baba watoto ameona alete ugomvi wa madaraka kwenye ndoa yangu. angejua na mimi nimepita pale 824KJ. ataisoma namba.
ummu kulthum tafadhali bibie unaemsema hayo maneno ni mume wangu ujue nilozaa nae watoto saba na tuna wajukuu ma dazeni, kama kiswahili kimekushinda kuelewa hapo juu omba kamusi bibie na sio kukimbilia kumwaga makashfa hapa ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.