Ki ukweli watanzania hawajui madhara ya ugaidi .alafu vyombo vya habari mi naona ndivyo vinavyofanya vijana wachachawe na kupenda ugaidi maana kila siku habar ni boko haram cjui alshabab cjui islamic state.vinawafanya vijana wetu nao wajione wanaweza.tutangaze amani na umuhimu wa amani hii...
Nakushauri angalia pia vyakula unavyomuandali baba chaja wako mpikie dona, vyakula vya asili ni vizur .mtengenezee juisi ya tende na maziwa pia juisi ya watermelon ni nzuri pia.alafu hakikisha baba chaja anafanya mazoezi ya kutosha .na msizoee staili moja kila mara.wakati mwingine kina baba...
Wanaume wengi wanapagawishwa na mwonekano wa nje wa mwanamke bila kutambua uhalisia wa tabia ya mtu.ni hatari mno wapo hata wanawake waliopenda ma handsome kumbe wao ni michekupuko kila leo .suala la michepuko ni janga la taifa kwa wanawake na wanaume pia .mpaka imefika hatua aliyekuowa au...
I hate umbea, je, una uhakika na unachokisema.? Kama uzuri anao mtazame live. Lkn sii vizur kusema mtu usiekuwa na uhakika na unachokisema just kumchafua mtu ili nin.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.