Recent content by MAMA LAO 1

  1. MAMA LAO 1

    Ijue tofauti ya Member na Senior Member ndani ya JF

    Na wale wenye tiki ya blue ????
  2. MAMA LAO 1

    Jiandae mwezi huu jua litapatwa pamoja na mwezi utakua mwekundu kama damu

    Unakuwa mwekundu kwa sababu dhambi za Dunia zimekuwa nyingi.......kumbuka kile kinvuli ni Cha dunia. Ndio mtajua Imani Ina nguvu....
  3. MAMA LAO 1

    Namtafuta my best friend ANNA E KIMAMBO!

    Ninacho jua mm Anna na mumewe ni walokole wale wakupitiliza! Hawapo kwenye mitandao na ndio maana napata shida ya kumpata! pengine ww uliye naye ni ana mwingine! Na c o huyu ninaye mtafuta!
  4. MAMA LAO 1

    Walichotufanyia CRDB Mlimani City siku ya Krismasi

    Duh na atm kazi yake nini huko nje! Waacheni watoto wa wenzenu na wao washerekee xmas majumbani mwao! Na bora wafunge kupunguza matukio mabaya ya ujambazi!
  5. MAMA LAO 1

    Namtafuta my best friend ANNA E KIMAMBO!

    nilisikia amekuwa mtawa(yaani ni sister) ina maana kama ni mke wako basi ww ni padri!!!
  6. MAMA LAO 1

    Namtafuta my best friend ANNA E KIMAMBO!

    Kwa yeyote anaye mjua naomba ani PM ! Tulisoma wote miaka ya 1991 _ 94, Lugalo(jwtz) sec. School kwa sasa inaitwa makongo sec. School Miaka hiyo alikuwa anaishi na baba ake mdogo mzee kimambo maeneo ya super/makonde mbezi beach Na miaka ya 2004 nilikutana na kaka ake akaniambia kuwa Anna...
  7. MAMA LAO 1

    Samaki: Sangara na sato wanahitajika sana

    Weka na bei unayo taka kununulia kwa kilo?
  8. MAMA LAO 1

    Hodi

    karibu tupo, sijui unatumia kinywaji gani?
  9. MAMA LAO 1

    Hodi

    ongea, na kichina tuone ata mimi nakijua kichina! ila karibu jamvini
  10. MAMA LAO 1

    HE saved me,HE gave me the second chance!

    Maisha yetu ni kwa neema tu! Mpendwa unasali kanisa gani? Karibu kwetu fgbf pale mwenge na Mungu atakubariki!
  11. MAMA LAO 1

    Happy Birthday to Me!

    Hbd mimisa!
Back
Top Bottom