Ninacho jua mm Anna na mumewe ni walokole wale wakupitiliza! Hawapo kwenye mitandao na ndio maana napata shida ya kumpata!
pengine ww uliye naye ni ana mwingine! Na c o huyu ninaye mtafuta!
Duh na atm kazi yake nini huko nje! Waacheni watoto wa wenzenu na wao washerekee xmas majumbani mwao! Na bora wafunge kupunguza matukio mabaya ya ujambazi!
Kwa yeyote anaye mjua naomba ani PM !
Tulisoma wote miaka ya 1991 _ 94, Lugalo(jwtz) sec. School kwa sasa inaitwa makongo sec. School
Miaka hiyo alikuwa anaishi na baba ake mdogo mzee kimambo maeneo ya super/makonde mbezi beach
Na miaka ya 2004 nilikutana na kaka ake akaniambia kuwa Anna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.