Ilitabiriwa kuwa ikitokea USA ikasimika rais mwanamke ndo mwisho wa dunia yaani ujio wa Kristo na mtabiri aliongezea kuwa teknologia itakuwa juu maana kutakuwa Magari Mfano wa Yai na Magari hayo hayatahitaji Dereva. Na akaongeza kuna taifa dogo kutoka Mashariki mwa Dinis litatengeneza nyukilia...
Atekeketee mpaka haishe cjaonja iyo nyama waiiiiiiiii labda sio mimi 😂😂😂😂😂 maana Nina uhakika nisingekosa kuweka Pilipili, limau na chumvi na chachandu ya kutosha 😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.