Umetumwa mwe.hu wewe, kumbuka hizo ni pesa za hayo wanayoyaita mabaki, kwamba yako na 30% ya dhahabu yote ilochimbwa, sasa piga hesabu kama hizo trillions ni za 30% je za 70% ni ngapi?
Kwanza we ni American citizen nashangaa ya huku yakuwashia nini.
Yaan nyie watu ni mijib.wa kabisa, mambo ndo kwanza yameanza kakurupuka kwa lipi? hayo mambo ya sheria kwani kamati ishawasilisha taarifa za utafiti wao juu ya hili swala? mnatia hasira sana.
Jamani wapinzani wamesema sana kuhusu mikataba mibovu na kwenye hili sasa Ccm tuwainge mkono kwa kuidai ifumuliwe na kuangaliwa upya lissu nimekuelewa, Rais wetu lazimisha hilo na ninaamini hilo litakuja soon maana tume ya pili inafuatilia hilo pia
Political will ndo ilkuwa tatizo, ndo maana unachukiza kuona mambo ya hovyo tulokuwa tukiyalalamikia miaka nenda rudi yameanza kushughulikiwa badala ya kumuunga mkono Rais tunakebehi..
Yaan nyie watu hizo bongo zenu....hayo mataifa mengine pia wanachimba wao wenyewe na washirika wao so wote lao moja na kote wanaiba hivyo ni utashi wa nchi husika kaamua kuzuia wizi au viongozi kaamua kuiba nao.
Kilaza wewe ulisikiliza vizuri report? kamati ilieleza wazi na kusema ushahidi upo unaoonyesha kwamba hayo madini huwa wanayaextract na kuyauza, kama gharama za kuextract inazidi thamani yake kwa nini wayaextract? Mnatia hasira sana washe.nzi nyie.
Hawa watu wanachekesha sana, kama bado kunamtu anawaamini aisee hospital ya wale jamaa zetu pale Dodoma inawahusu, walisema alikuwa Mwanza bottom (night club), leo wanasema alikuwa Malaika, eti kampuni imefirisika mpaka Samwel Nyalla kaamua kuondoka, mtu alikuwa mahututi India kwa matibabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.