Tatizo kuna watu wanashida ktk kufikiri. Huyo anaye mchimbaji Tundu anamtambua jamaa akishaapishwa kusema hawezi kuchaguliwa wala kuelekezwa cha kufanya. Angemsikiliza Tundu?Binafsi sioni kosa la Lissu, ameeleza ni nini Rais alipaswa kufanya kabla ya kuzuia mchanga kusafirishwa.. Magufuli ana nia nzuri lakini njia anazotumia zinaweza zikaliingizia taifa hasara zaidi badala ya faida kwa sababu ya mikataba iliyoingiwa na serikali zilizopita na wawekezaji hawa..
Tusiwe mashabiki wa watu, tuwe mashabiki wa ukweli.. Tanzania ni yetu sote