Recent content by MalumeNdago

  1. M

    Je, unayajua haya kuhusu Bolt au Uber?

    Habari, Je, unajua wapi naweza kupata msaada wa kupata uwezekano wa usajili wa Bolt na Uber. Nime download app ila shida ipo kwenye leseni na kazi ya gari. Vyote ninavyo ila vile vyenye vigezo sina. Naomba msaada juu ya hili. Help a friend
  2. M

    Kuongezewa muda wa rejesho

    Hivi NMB wanahuduma ya kuongeza mwezi mmoja wa rejesho kama mtu unaona mwezi huo kuna uwezekano wa kuchelewa kurejesha mkopo?
  3. M

    Mfumo mpya wa Manunuzi ukiacha TANePS

    Mnamo mwaka jana 2022, Serikali ilitangaza maboresho ya mfumo wake wa manunuzi. Je, tayari wameshatangaza mfumo mpya utakuwaje na utaitwaje na kupatikana vipi? Naomba msaada.
  4. M

    Nafikiria adhabu za jela miaka 30 zipunguwe muda wake

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. M

    Nahitaji Samaki Perege na Kambale kwa Wingi

    Endelevu, kama watapatikana kwa wingi, hata mwaka mzima sawa
  6. M

    Nahitaji Samaki Perege na Kambale kwa Wingi

    Kama unafuga ama ni mfanyabiashara wa Samaki Perege na Kambale, PM tufanye biashara! Ahsante!
  7. M

    Tamaduni Music Punchlines Special Thread

    Mistari ya kale kamuulize Zinjathropus.
  8. M

    Scooter/ Batavuzi za Kizanzibar

    Ilala sehemu gani? Machinga complex?
  9. M

    Scooter/ Batavuzi za Kizanzibar

    Duuh. Hapo balaa sasa...
  10. M

    Scooter/ Batavuzi za Kizanzibar

    Habari wana jamii, Natafuta scooter ama batavuzi kwa ajili ya biashara. Je, wapi naweza kupata kwa Dar ama kutoka Zanzibar? Mwenye mawasiliano naomba. Ahsante.
  11. M

    Kuhamisha message za WhatsApp kutoka kwenye Iphone kwenda kwenye Android

    Habari, Naomba kama unafahamu jinsi ya kuhamisha msg Na chats zote kutoka Kwenye iPhone kwenda kwenye android Samsung. Ahsante
  12. M

    Usajili wa Line ya Kampuni

    Msaada. Nahitaji vitu gani ili nisajili line ya simu ya Kampuni?
Back
Top Bottom