Recent content by MalumeNdago

  1. M

    JamiiForums Tanzania Bei ya Makabati Mwenge Njia ya kwa Kakobe kabla ya Lufungira

    Nauliza kwa mwenye ufahamu wa bei ya makabati ya nguo ambayo hayana mlango. Yapo kama shelves pale service road ya kwenda Lufungira kutokea Mwenge ni kiasi gani?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je, unayajua haya kuhusu Bolt au Uber?

    Habari, Je, unajua wapi naweza kupata msaada wa kupata uwezekano wa usajili wa Bolt na Uber. Nime download app ila shida ipo kwenye leseni na kazi ya gari. Vyote ninavyo ila vile vyenye vigezo sina. Naomba msaada juu ya hili. Help a friend
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuongezewa muda wa rejesho

    Hivi NMB wanahuduma ya kuongeza mwezi mmoja wa rejesho kama mtu unaona mwezi huo kuna uwezekano wa kuchelewa kurejesha mkopo?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mfumo mpya wa Manunuzi ukiacha TANePS

    Mnamo mwaka jana 2022, Serikali ilitangaza maboresho ya mfumo wake wa manunuzi. Je, tayari wameshatangaza mfumo mpya utakuwaje na utaitwaje na kupatikana vipi? Naomba msaada.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nafikiria adhabu za jela miaka 30 zipunguwe muda wake

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tamaduni Music Punchlines Special Thread

    Mistari ya kale kamuulize Zinjathropus.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kutengeneza App

    Ahsante. Je unayo list au mentions za hizo vitabu kipi kizuri? [emoji1545][emoji1545]
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kutengeneza App

    Sawa Mkuu. Ila hapo nakuwa nimeiba nini cha mtu ?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kutengeneza App

    Unapatikana wapi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kutengeneza App

    Kaka ndio kinachonisumbua
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kutengeneza App

    Kuiweka wazi bado mtihani ndugu ni dhahabu ya wazi kabisa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kutengeneza App

    Kuiweka wazi ndio mtihani ndugu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kutengeneza App

    Habari, Mimi ni kijana nina idea ya kutengeneza app kwa soko la Tanzania na baadae inaweza kutanuka kwenye nchi za jirani. Ni idea ambayo tatizo lake bado watu hawajalitatua hivyo kuna uwezekano lika tick. Shida Kuu ni sijasoma mambo ya IT Na sina hela nyingi za kuweza ku finance project nzima...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Fursa kwa Developers

    Mimi najua kuhusu Trading tu na sio mzuri sana wa Coding. Je naweza kutengeneza Trading robot kupitia wao?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Je, nini maana ya kupanga orodha ya shule bora baada ya mitihani ikiwa hakuna uwiano kitaaluma?

    Je, kuna haja ya kuendelea kutoa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na cha sita kishule ikiwa bado elimu haijawa na uwiano unaofanana? Ubora wa elimu haulingani? Kila siku wenye miguu watakua wa kwanza kwenye mbio na wasiojiweza na tutaendelea kuwapongeza? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom