Habari,
Je, unajua wapi naweza kupata msaada wa kupata uwezekano wa usajili wa Bolt na Uber. Nime download app ila shida ipo kwenye leseni na kazi ya gari. Vyote ninavyo ila vile vyenye vigezo sina. Naomba msaada juu ya hili.
Help a friend
Mnamo mwaka jana 2022, Serikali ilitangaza maboresho ya mfumo wake wa manunuzi.
Je, tayari wameshatangaza mfumo mpya utakuwaje na utaitwaje na kupatikana vipi?
Naomba msaada.
Habari wana jamii,
Natafuta scooter ama batavuzi kwa ajili ya biashara. Je, wapi naweza kupata kwa Dar ama kutoka Zanzibar? Mwenye mawasiliano naomba.
Ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.