Bora hapo kuna majungu tu,tupo sehemu zina majungu na uchawi juu so inabidi ufanye kazi ukazane kuomba na upambane na majungu. Ila ukifanya kazi kwa bidii tu majungu yanakuogopa
Pole sana mkuu ila kubali au ukatae huyo rafiki ako ana kitu rohoni mwake juu yako. Angeshindwa kukupost bas hata sim ya taarifa tu kuwa hospital wamesharuhusiwa ili usihangaike tena kuwafuata huko napo ameshindwa.
Huyo ni wale marafiki ambao unamsaidia alafu anakuona kama unajipendekeza au...
Sio ushamba uko sahihi sema tu akili za wanawake sijui wakati mwingine zikoje.
Mwanamke ukishakuwa na mahusiano committed unatakiwa kujichunga sana hata aina ya watu wa kuwasiliana nao
Yani nimekua mteja wa huu uzi,, nimesafiri niko sehemu ina shida ya network bas kila wakati najitega mahali kuona kama bwana TAI DUME ameshafanya jambo lolote.
Kuwa mwanamke ni ngumu sana sjui kwann tuliekewa hiki kitabia chakupenda pesa. Hakuna mwanamke asopenda pesa ya kupewa ni vile tunazidiana utashi wa kudhibiti tamaa zetu.
Huyo dada bila shaka alirogwa na ukwasi wa mshkaji akakubali kuolewa Sasa sahvi mapesa yameondoka na yeye upendo umetoka...
Katika kikao cha Jana cha serikali na wafanya biashara wa bandari kama mtu unauelewa ukiangalia tu walivyokua wakizungumza unaweza kujua kabisa kuwa hata hao viongozi wamepata mashaka makubwa dhidi ya hao DP World na Sasa ni wanafanya tu ilimradi kukamilisha matakwa Yao maovu.
Aliongea yule...
Kwenye hili la Michelle kumtaka BM kwe kampuni yake ndo na Mimi Sasa naamini kuwa inawezekana Mzee anahusika na kupotea kwa mzigo maana nakumbuka Michelle alisema Mzee ndo amemshauri akaongee na BM Ili awe dereva wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.