Bora mfunguke maana humu waume zetu ndio wanashinda huko MMU NA kwenye hizo PM . shauri yenu mtakapo funguka itakuwa kuchelewa baba nanii niniii rudisha moyo wako nyumbani baby wangu :A S wink:
tayari kashampachika tena tumbo house girl. wewe kiboko na unafaaa kweli kweli. naona mahouse girl wana test ya kipekee kwake. chooni fasta fasta sasa mimba haya uso wako weee. :high5:
kumbe huwa inauma eeh. nyie wanaume mlioko humu mnajua wake zenu wanapata sms ngapi kwenye simu zenu tena za kuumiza na wananyamaza? wanalia wanachoka? mkuki kwa nguruwe. kama wewe unaweza kucheat hata hata nagg h/made au ndg wa mkeo hata yeye ni mwanadamu. vumilieni kama vile ambavyo wake nao...
Ungekuwa mwanaume wa ukweli ungechukua jukumu la huyo mtoto. Apate hujduma zote kama baba yake kutoka kwako. Inaelekea umeshindwa kufanya hivyo ndio maana mama yake anaangaikia maisha ya mtoto wake na nyie wanaume wengi mmekuwa hivyo ulipokuwa unampenda huyo mama si ulijua ana mtoto na jukumu la...
hivi kwanini sijawahi kusikia baba au mume akiambiwa apige goti aomuombe Mungu aokoe ndoa. kwani ndoa ni ya mama peke yake? au wa mama tu ndio wanapenda ndoa zao ziwe salama? pole mpz hayo yanayokukumba yametukumba wengi wanaume ndivyo walivyo hasa wakianza kushika vijisenti bac kila mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.