Mpaka sasa sijashuhudia ndoa hata moja ya JF iliyodumu!

Mpaka sasa sijashuhudia ndoa hata moja ya JF iliyodumu!

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,664
Najua ndoa nane za JF ambazo hadi kufikia sasa zote zimekufa. Nilishahudhuria arusi za ndoa 2 kwa sababu wahusika walikuwa kwenye circle ya marafiki zangu, sita zilifungwa kibubububu na pia zimekufa kibudu. Ya mwisho imekufa leo kwa bonge la vagi mapema asubuhi hii, kisa jamaa aliendelea kutongoza MMU huku akidai hana mke wala mchumba - mke alidai kufuma PMs (Taarifa nimeipata kwa njia ya sms kupitia mtandao wa AIRTEL).

Mie pia nilishawahi kupata mchumba humu, lakini siku ya kwanza tu kuja kwangu alikuwa anachat MMU kupitia PMs huku amelalia mgongoni kitandani mwangu, halafu ananiambia "Baby nakuboa ee, am sorry nachat na rafiki yangu nataka kumwagizia nguo kutoka Thailand (Hapa najua kilichokuwa kinafuatia ni mzinga premium)", nilimwambia poa baby chacharika. Ilikuwa kila nikimkaribia, anafanya kama kuficha screen ya simu! Nilishtuka, kesho yake nikatengeneza ID nyingine, dah si nikamtongoza tena na akakubali!

Mapenzi ya MMU/JF ni kama gesi ya Swala, watu kibao wana hisa, na bado kuna nafasi!

Take risk and pursue your dream!
 
Mimi na Matola tutadumu nawaambia! Hatujakurupuka! Bado hoja naikokotoahumu maana nzito mnomnomno

Nishamaliza ukokotozi! Mapenzi ni kama vita, in the sense that wahusika mnakuwa mmeamua to go against all odds, to give it your whole, kutokubali other options Matola aligoma kabisaa kuwa Zombi langu! LOL!) na kujitolea dhabiti iwalo na iwe lakini lazima hali ibadilike! NDO MAANA VITANI WATU WANAKUFA DAILY, NA WANAOBAKI WANAAMKIA UWANJA WA MAPAMBANO! And the circlw goes on! Utajiuloza WHY? Nakipa jibu BECAUSE THEY BELIEVE WITH THEIR WHOLE SOUL THAT ITS WORTH THE RISK AND DAMAGE! Na mapenzi hivo hivo watu wanaachwa, wana vnjwa mioyo, wanapatwa na kdhia nyingi but they never stop loving, since love is a beautiful thing! Na kabla hujaachwa unafadi tusemage tu ukweli! Kama mimi navofaidi kwa baby wangu!

All in all mapenzi ni kitu cha ajabu sanaa, haijalishi mmekutana wapi, umri, sijui mafweza, sijui nini but the xonnection inakuwa tu automatic, mnabond, power of love inafanya kazi, na kama mnajielewa baada ya hapo mnafanya zile basics na kuimariaha penzi!

Oa mtu sio sababu umemkuta Jf au wapi, MARRY SOMEONE BECAUSE YOU LOVE THEM, AND YOU WANT TO SHARE THE REST OF YOUR LIFE WITH THEM.! Any life of yours without them will always feel incomplete!

Wanasemaga HEROS GO TO THE WAR BATTLE. CAPPITLISING ON TINIEST POSSIBILITY TO CHANGE THINGS KNOWING THEY MIGHT DIE AND THEY REALLY DIE WHILE THE COWARDS STAY HOME TO SHOW THEIR KIDS THE HEROS GRAVES WHILE LIVING A LONG BORING LIFE! Sasa mimi ni heroine im going to war, to satisfy my heart, live my life and enjoy my opportnitiea to the fullest! There might be regrets but it doesnt matter! I wont spend rest of my life wondering WHAT IF! You cowards can sit back ready to tell my story, and wonder what if!

I hve regretes so many things in my life anyway, what is a little ONE more regret and dissapointment? I am taking my chances to see what the future hold for me! I am challanging my fate to surpass my expectations!

In life there are those of you WHO RUN AWAY and there are those of us WHO STAY BACK AND FIGHT TO MAKE THINGS RIGHT!
Matola baby i love you! And i am proud of you!

Cc michepuko, Dancani, Khantwe maana mlikua mnaisubiri kwa hamu hii hoja!
 
Najua ndoa nane za JF ambazo hadi kufikia sasa zote zimekufa. Nilishahudhuria arusi za ndoa 2 kwa sababu wahusika walikuwa kwenye circle ya marafiki zangu, sita zilifungwa kibubububu na pia zimekufa kibudu. Ya mwisho imekufa leo kwa bonge la vagi mapema asubuhi hii, kisa jamaa aliendelea kutongoza MMU huku akidai hana mke wala mchumba - mke alidai kufuma PMs (Taarifa nimeipata kwa njia ya sms kupitia mtandao wa AIRTEL).

Mie pia nilishawahi kupata mchumba humu, lakini siku ya kwanza tu kuja kwangu alikuwa anachat MMU kupitia PMs huku amelalia mgongoni kitandani mwangu, halafu ananiambia "Baby nakuboa ee, am sorry nachat na rafiki yangu nataka kumwagizia nguo kutoka Thailand (Hapa najua kilichokuwa kinafuatia ni mzinga premium)", nilimwambia poa baby chacharika. Ilikuwa kila nikimkaribia, anafanya kama kuficha screen ya simu! Nilishtuka, kesho yake nikatengeneza ID nyingine, dah si nikamtongoza tena na akakubali!

Mapenzi ya MMU/JF ni kama gesi ya Swala, watu kibao wana hisa, na bado kuna nafasi!

Take risk and pursue your dream!
CC;lara 1 & Matola
 
Bora mfunguke maana humu waume zetu ndio wanashinda huko MMU NA kwenye hizo PM . shauri yenu mtakapo funguka itakuwa kuchelewa baba nanii niniii rudisha moyo wako nyumbani baby wangu :A S wink:
 
sijawahi kupata demu humu jf,natamani ningempata
miss chagga
 
Last edited by a moderator:
Mimi na Matola tutadumu nawaambia! Hatujakurupuka! Bado hooja naikokotoahumu maana nzito mnomnomno

Nishamaliza ukokotozi! Mapenzi ni kama vita, in the sense that wahusika mnakuwa mmeamua to go against all odds, to give it your whole, kutokubali other options Matola aligoma kabisaa kuwa Zombi langu! LOL!) na kujitolea dhabiti iwalo na iwe lakini lazima hali ibadilike! NDO MAANA VITANI WATU WANAKUFA DAILY, NA WANAOBAKI WANAAMKIA UWANJA WA MAPAMBANO! And the circlw goes on! Utajiuloza WHY? Nakipa jibu BECAUSE THEY BELIEVE WITH THEIR WHOLE SOUL THAT ITS WORTH THE RISK AND DAMAGE! Na mapenzi hivo hivo watu wanaachwa, wana vnjwa mioyo, wanapatwa na kdhia nyingi but they never stop loving, since love is a beautiful thing! Na kabla hujaachwa unafadi tusemage tu ukweli! Kama mimi navofaidi kwa baby wangu!

All in all mapenzi ni kitu cha ajabu sanaa, haijalishi mmekutana wapi, umri, sijui mafweza, sijui nini but the xonnection inakuwa tu automatic, mnabond, power of love inafanya kazi, na kama mnajielewa baada ya hapo mnafanya zile basics na kuimariaha penzi!

Oa mtu sio sababu umemkuta Jf au wapi, MARRY SOMEONE BECAUSE YOU LOVE THEM, AND YOU WANT TO SHARE THE REST OF YOUR LIFE WITH THEM.! Any life of yours without them will always feel incomplete!

Wanasemaga HEROS GO TO THE BATTLE AND DIE WHILE
Aseeeeeeeeeeeee!
Achana na habari kuwa Matola ni habari nyingine ila hii akili oddo ni hatareeeee
 
Last edited by a moderator:
All in all mapenzi ni kitu cha ajabu sanaa, haijalishi mmekutana wapi, umri, sijui mafweza, sijui nini but the xonnection inakuwa tu automatic, mnabond, power of love inafanya kazi, na kama mnajielewa baada ya hapo mnafanya zile basics na kuimariaha penzi!


Cc michepuko, Dancani, Khantwe maana mlikua mnaisubiri kwa hamu hii hoja!
Kweli jana inaweza isiwe sawa na leo, naona umeamua kuanza kuonesha uhalisia wako dadangu, maana zile thread za mwanzo loll hela ndio ilikuwa kila kitu. ngoja move iendeleee
 
Back
Top Bottom