h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,545
- 3,370
ukipenda boga..... .................
.....tafuta kiboga.
ukipenda boga..... .................
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.
Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.
Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?
Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.
Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.
Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?
atupe nini!!!!!!!
Na wewe nawe, utafikiri ndo mama mtoto..
atupe nini!!!!!!!
Kwani hawawezi kujadiliana nyumbani hadi wakutane mahali na wewe ukijua wanayo yaongea kama nyie ni mwili mmoja kuna tatizo gani? nao kama ni ada si walipe benki kwenye akaunti ya shule na walete silip ambayo hata wakimtuma mtu yeyote anafikisha pia mtoto kama wanamtaka wamchukue wakati wa likizo hapa utadanganywa shemeji shemeji mwisho mtoto anatumika kama siraha ya kusalitiwa! be smart usikubali ujinga huo!Je ni sahihi kwa mwanamke uliye muoa na ukamkuta na mtoto tayari kuendelea kuwasiliana na shemeji zake, yaani baba wadogo wa mwanae? Tena mazoea ya kupeana hata appointmetn za kwenda kukaa seheme akiwa na mtoto na baba wadogo wa mtoto huyo.
Ukimuuliza anasema wanajadili kuhusu mtoto mana baba mzazi wa mtoto huyo alifariki.
Naombeni ufafanuzi. Mnalichukuliaje hili?
Hi mambo ya kuoa mwanamke aliyeisha zaa kwangu hapana, tena hapana kabisa. Siku nyingine unaweza kurudi toka kwenye shughuli zako na unakutana na men 1 imekaa sebuleni kwako inapata kinywaji, ukiuliza unaambiwa huyu ndio baba nani? Pressure za nini bana, ila shughuli tena iko hapa, hawa ambao nao hawajazaa nao mmh, wameisha kunywa vidonge vya majira mpaka basi, wengine wanaweza kukaa hadi mwaka hawaendi kabisa kwenye zile siku zao, yaani full majanga!