Recent content by Malisha

  1. Malisha

    Vodacom kukubali kutoa ushahidi dhidi ya Lema ni dharau kubwa kwa watanzania

    Nimeshatafuna line yanguuu [emoji41]
  2. Malisha

    Dully alaumu wasanii ambao hawakuja kumzika baba yake

    Nakumbuka Diamond alienda hadi kwenye msiba Wa Bi Kidude
  3. Malisha

    Edward Lowassa aungwa mkono na Wamarekani (USA)

    Hakuna hata jambo Moja watakalo support mataifa ya magharib na Marekani yenye maslahi kwa AFRICA...keep it in your mind.. LOWASSA FISADI NO 1 TANZANIA
  4. Malisha

    Sababu za kutonunua Kazi za Wasanii waliojiunga na CCM

    Naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja
  5. Malisha

    In Edward Lowassa, I trust...

    Fisadi atakuongoza ww...!!
  6. Malisha

    Halima Mdee hastahili 'kutendwa' vile

    Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.. pia lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.
  7. Malisha

    CHADEMA na Zitto watafuta suluhu

    Na dhani hilo ni jambo jema ambalo nilikuwa nikitamani siku nyingi... mm naamini kuwa " mtoto akinyea mkono hauta ukata bali utausafisha" zito n kijana wetu amekosea ila inawezekana kabisa akasamehewa. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CHADEMA
  8. Malisha

    Leo Ni Siku Ya 12402

    Miaka 33
Back
Top Bottom