Nashauri tozo ziongezwe zaidi Ili Kila meananchi alipe Kodi na ndipo uzuzu na uzezeta utapungua.
Tunawaza mambo kwa kutumia akili ndogo mno na tunadeal na matawi ya tatizo badala ya mzizi.
Hivi tungekuwa na bunge imara, demokrasia na uongozi unaotokana na kura za wananchi haya yangetokea?
Si...
I wish kama wahusika wa utalii wapo humu wafanye arrangement hata kea kuwalipa wawalete ku re sing nyimbo zao Tanzania haya huu ya mlima Kilimanjaro,Serengeti na Zanzibar.Watapaya viewers wengi na kuattract watalii wengi mno.
Kuna mambo mawili kwa Msigwa.
Moja huenda amefika bei maana njaa haina baunsa.
Mbili kasoma alama za nyakati kaona Twaha Mwaipaya anakubalika zaidi hivyo uhakika wa kupitishwa na Chadema 2025 haupo.
Jitambulishe wewe ni member wa SPS wa mwaka gani? Tulikuwa na kamsemo ketu PSW(Pray,Study,Work) is a function of St Peters while Domain are seminarians and range are formenters.Very interesting.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.