Recent content by malinyi

  1. M

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    Lini wananchi walishirikishwa ugawaji wa chuo cha Tanesco kwa waislamu?
  2. M

    Nipo hapa Manzese Kwa Mkwere napiga vyombo, wadau njooni basi tuliunge

    Kaka njoo Erado nitafute nitakupa vyombo vya bure plus mchemsho wa samaki
  3. M

    SI KWELI Matiti ya mwanamke hudondoka yanapoguswa guswa na viganja vya wanaume

    Bupe ana dada yake aitwaye Sekela Mwakipesile watu wanajipigia kwa fujo lakini chuchu saa sita kama bikra vile. Hapo unasemaje?
  4. M

    Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

    Huyu mwamba alimtarget Ray Kigosi tu hao wengine wakina Shaba,Mnauye etc ni geresha tu Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
  5. M

    How to Get Wi-Fi Without an Internet Provider

    Lmk l l ppl lk ll LL A mm pp K mm ml ppl LL v lmmfao lml N lol vnl LL v lmmfao MN big my my my p lol lol LL l llb min p
  6. M

    TANZIA Mwanamuziki Tshala Muana hatunaye tena

    Makamba anasemaje?Alikuwa mtu mwema au mbaya ndo akafa?
  7. M

    Kupambana na uhalifu kihalifu hakukubaliki

    Pole sana Panya road Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
  8. M

    Ushauri: Serikali Isifute TOZO hii nchi wasiolipa Kodi ni wengi sana!

    Nashauri tozo ziongezwe zaidi Ili Kila meananchi alipe Kodi na ndipo uzuzu na uzezeta utapungua. Tunawaza mambo kwa kutumia akili ndogo mno na tunadeal na matawi ya tatizo badala ya mzizi. Hivi tungekuwa na bunge imara, demokrasia na uongozi unaotokana na kura za wananchi haya yangetokea? Si...
  9. M

    Leo nimetafuna bikra, kumbe hazina maajabu

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
  10. M

    ABBA wamekutana pamoja kwa uwazi baada ya miaka 36

    I wish kama wahusika wa utalii wapo humu wafanye arrangement hata kea kuwalipa wawalete ku re sing nyimbo zao Tanzania haya huu ya mlima Kilimanjaro,Serengeti na Zanzibar.Watapaya viewers wengi na kuattract watalii wengi mno.
  11. M

    Mbowe asikubali kuwapoteza Wabunge 19 ni hasara

    We Benson Mramba tangu utimuliwe Chadema ni lini umeanza kuwa na mapenzi na Chadema na Mbowe?
  12. M

    The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

    Kwani jiwe alikuwa anafanya biashara hiyo? Si mlisema waliounga mkono juhudi wanamkubali uchapakazi wake?
  13. M

    The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

    Kuna mambo mawili kwa Msigwa. Moja huenda amefika bei maana njaa haina baunsa. Mbili kasoma alama za nyakati kaona Twaha Mwaipaya anakubalika zaidi hivyo uhakika wa kupitishwa na Chadema 2025 haupo.
  14. M

    Papa Francisco aridhia ombi la Askofu Telesphor Mkude wa Jimbo Katoliki Morogoro kung'atuka kutoka madarakani

    Jitambulishe wewe ni member wa SPS wa mwaka gani? Tulikuwa na kamsemo ketu PSW(Pray,Study,Work) is a function of St Peters while Domain are seminarians and range are formenters.Very interesting.
Back
Top Bottom