Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 956
- 1,373
Study, Prayer, WorkNilikuwa nakaa Tuzinde enzi hizoo.
Study, Prayer, WorkNilikuwa nakaa Tuzinde enzi hizoo.
Yes, halafu nikaja Mbaga, na kumalizia na KizitoTuzinde si ni lile lipo nyuma ya Kagwa? Mimi nilikaa kote kasoro Kizito tu
Hahahaaa, sitakuja kusahau yale maisha ya pale SPS. Yamesaidia sana kunifanya kua 'legend'. Nawakumbuka sana mwl Botta na Kilambo. Walinipokea pale. May their souls rest in eternal peace, amen.Study, Prayer, Work
Mkuu by Mbaga you mean Mukasa au Mulumba? Nakumbuka kulikua na Kagwa, Tuzinde, Mulumba, Mukasa na Kizito kama sikoseiYes, halafu nikaja Mbaga, na kumalizia na Kizito
Jumuiya ni muhimu sana, huko ndiko kanisa linapoanzia ndugu, jitahidi kusali jumuiya hata maramojamojaUaiposali jumuiya hupati huduma yeyote ya kanisa
Hizi ishu hizi
Mfano Mimi huwa najitahidi sana nihudhurie church Ila huko jumuiyani sinaga mzuka nako
Ila ndio hivyo unawekwa blacklisted
Hoja yako haina mashiko!!Kanisa Katoliki bado lina changamoto kubwa ya upungufu wa majego.. Waumini mpunguze ubahili mtoe pesa mjenge sharika muache kusalia majumbani kwa watu.. Uvivu wa kujenga majengo umepelekea kugeuza nyumba za watu kuwa makanisa kiasi kwamba wasioupenda utaratibu huo wa jumuiya mnawanyima huduma za kikanisa kama vile ubatizo ambao Bwana wetu Yesu Kristo aliuleta kwa watu wote bila masharti.. Hii kwa mtazamo wangu, si sawa!
MAMBO MENGINE MNAKAUSHA MAMBO YAENDE KASHFA NI JUU YA MWILI TOBA NI JUU YAKE NA MUNGU WAKE.Namtakia mapumziko mema.
Mwishoni wa utumishi wake katika kanisa umekua changamoto kwake kwa kweli.
Kule kuwa askofu aise na mamlaka yoyote hupelekea hate kutokupata heshima ilio mstahilikia.
Alipata skendo kubwa kidogo japo wameficha sababu za kumweka kando au za kumvua nyadhifa za kiuaskofu lakini ni Kama kashfa Fulani hivi aliipata.
Yote ya yote alikua ni askofu mzuri kwakweli tena mzuri haswa ila mwisho was utumishi wake umekua mbaya kidogo.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mimi sio mkatoliki, lakini naona mkuu hoja yake haina mashiko!!Wewe siyo mkatoliki hujui maana ya JUMUIYA
Mkuu naomba kujua maana ya monsinyori anakua ni mtu gan, kazi zake na anapewa cheo hcho na nan??Hivi mkuu monsinyori rev Patrick Kung'alo bado yupo jimboni? Nakumbuka alikuaga monsinyori huko Morogoro baada ya kutoka kua rector wa seminari flani ya jimbo hapo Moro
Nami nilitamani kujua...does it make any difference? Kama umeishi maisha yasiyosomeka hata jirani yako asiyejimudu kushindwa kumpa mlo mmoja na ukabahatika kuzikwa na Askofu, mbele za Mungu will it make any difference?Kwani akizikwa na katekista kuna utofauti akizikwa na Papa achilia mbali askofu?
Sorry MulumbaMkuu by Mbaga you mean Mukasa au Mulumba? Nakumbuka kulikua na Kagwa, Tuzinde, Mulumba, Mukasa na Kizito kama sikosei
Kwa mm ninavyofahamu kwa kifupi monsinyori(Monsignor) ni cheo cha heshima kinachotolewa na papa/mamlaka za kanisa kwa padre aliyefanya kazi nzuri ya kutukuka mara nyingi wanakuwa above 50's.Mkuu naomba kujua maana ya monsinyori anakua ni mtu gan, kazi zake na anapewa cheo hcho na nan??
Shukrani mkuu kwa kunijuzaKwa mm ninavyofahamu kwa kifupi monsinyori(Monsignor) ni cheo cha heshima kinachotolewa na papa/mamlaka za kanisa kwa padre aliyefanya kazi nzuri ya kutukuka mara nyingi wanakuwa above 50's.
Moja ya majukumu ya monsinyori huwa wanakuwa ni washauri wa karibu wa maaskofu huko kwenye majimbo yao.
Kiufupi hawa n mapadre waandamizi na hata mavazi yao huwa yanafanana na ya mababa maaskofu.
Uko sahihi mkuu. Kwa kuongezea tu ni kwamba mwaka 2013 mwishoni Pope Francis alifanya mabadiliko kidogo hapo kwenye umri, na ikawa ni kuanzia miaka 65 na kuendeleaKwa mm ninavyofahamu kwa kifupi monsinyori(Monsignor) ni cheo cha heshima kinachotolewa na papa/mamlaka za kanisa kwa padre aliyefanya kazi nzuri ya kutukuka mara nyingi wanakuwa above 50's.
Moja ya majukumu ya monsinyori huwa wanakuwa ni washauri wa karibu wa maaskofu huko kwenye majimbo yao.
Kiufupi hawa n mapadre waandamizi na hata mavazi yao huwa yanafanana na ya mababa maaskofu.
Mashemasi vimeo ni wapi? kwamba hawakupitia taratibu za kupata ushemasi?Na mie najua alipadrisha mashemasi Vimeo.... Ndio akaliwa kichwa na Mamlaka.
Huwa wanajidanganya tu utafikiri ukizikwa na Askofu ndiyo unaingia mbinguni kumbe ukifa ndiyo historia yako ndiyo inakoma uzikwe usizikwe haiongezi wala kupunguza kitu kuhusu hali yako ya kirohoNami nilitamani kujua...does it make any difference? Kama umeishi maisha yasiyosomeka hata jirani yako asiyejimudu kushindwa kumpa mlo mmoja na ukabahatika kuzikwa na Askofu, mbele za Mungu will it make any difference?
Hili limeandikwa wapi? Nipe jibuHuwa wanajidanganya tu utafikiri ukizikwa na Askofu ndiyo unaingia mbinguni kumbe ukifa ndiyo historia yako ikome uzikwe usizikwe haiongezi wala kupunguza kitu kuhusu hali yako ya kiroho
Jitambulishe wewe ni member wa SPS wa mwaka gani? Tulikuwa na kamsemo ketu PSW(Pray,Study,Work) is a function of St Peters while Domain are seminarians and range are formenters.Very interesting.Rector wangu St. Peters Junior Seminary
Bila kumsahau Fr Gervas TetiHahahaaa, sitakuja kusahau yale maisha ya pale SPS. Yamesaidia sana kunifanya kua 'legend'. Nawakumbuka sana mwl Botta na Kilambo. Walinipokea pale. May their souls rest in eternal peace, amen.