Habarinu wana jukwaa,
Huku nilipo Moshi Vijijini kuna shida ya maji mpaka kero. Idara inayohusika kuna tatizo gani watu tunakosa maji siku tatu?
Kipindi kama hiki cha masika hasa ukiangalia tuko karibu na Mlima mrefu kuliko yote Afrika. Mimi nimeshiriki kwa kutoa taarifa, naomba viongozi na...
ujumbe mzuri sana.kwa hakika watz ni wasahaulifu sana.mana miaka ya awamu ya nne tulikuwa tunaomba mungu atupe dikteta.mkali na mungu akamleta.mara tukadai hafai. mungu atusamehe sana na aiweke roho yake mahala pema peponi
Kutokana na siasa za Tanzania mpaka sasa hadi Mh. Rais kubadili baraza. Napenda kuleta ujumbe huu kwa kumpongeza Mh. Rais kwa nzanuri ya kuongoza Taifa letu.
Kilichotokea hivi makaribuni mpaka kutengua baadhi ya mawaziri nafikiri halikuwa tarajio la wananchi wengi nchini. Kwa sasa watanzania...
Habari wanajamii wenzangu, nmekuwa nikifuatilia majibu ya Ole Sabaya kwenye ushahidi wake kwamba alikuwa akipata maagizo kutoka juu ili atimize majukumu yake kifupi alikuwa alikuwa anatii mamlaka. Lakini hii imekaaje mpaka sasa Makamu wa rais, Waziri wa fedha na gavana wa BOT kutajwa kuwa...
Mh. Waziri Makamba nakumbuka hotuba yako ya kwanza ulipoteuliwa, ulijitanabaisha kwa kusema unataka ndni ya wiki mbili mbili upewe sababu za kukatika mara kwa mara umeme. Nilipata matumaini makubwa kutokana na kauli yako. Lakini kama watoto wa mjini wanavyowatania wanasiasa kutokana na kauli yao...
Hapana. Mh. Nape Moses Nnauye umekosea na umeikosea umma wa WaTz Kumbuka wewe ulikuwa katibu wa itikadi wa uenezi ambaye ulituaminisha kuwa mgombea wa CCM wa 2015 ni mchapakazi, mzalendo na isitoshe ukaenda mbali kwamba mngeshinda kwa bao la mkono. Sasa leo wewe kuonesha kuwa uongozi uliopita...
Nikiwa nashuhudia sasa ni mara ya pili kwa waziri mkuu mstaafu wa Uingereza kuwasili nchini Tanzania ndani ya mwaka huu. Sasa wachambuzi wa mambo naomba michango yao, juu ya safari zake nchini Tanzania maana ni kiongozi mkubwa duniani.
Ushauri:Viongozi acheni kucreate matatizo na kuyasolve wenyewe ,wananchi sio wa wakuja ,wanaelewa kila kitu siku hizi,kwani hiyo mamlaka haikujua kuwa ni watanzania wachache tu ndo waliosajiliwa na NIDA?.Hapa kwenyew kila siku nazungushwa kwenye ofisi za umma kutafuta huduma lakini hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.