Moshi vijijini maji hakuna, ni kero kubwa

Maliki J

Member
Feb 5, 2012
20
17
Habarinu wana jukwaa,

Huku nilipo Moshi Vijijini kuna shida ya maji mpaka kero. Idara inayohusika kuna tatizo gani watu tunakosa maji siku tatu?

Kipindi kama hiki cha masika hasa ukiangalia tuko karibu na Mlima mrefu kuliko yote Afrika. Mimi nimeshiriki kwa kutoa taarifa, naomba viongozi na wahusika waliangalie hili.

Kazi iendelee.
 
Habarinu wana jukwaa,

Huku nilipo Moshi Vijijini kuna shida ya maji mpaka kero. Idara inayohusika kuna tatizo gani watu tunakosa maji siku tatu?

Kipindi kama hiki cha masika hasa ukiangalia tuko karibu na Mlima mrefu kuliko yote Afrika. Mimi nimeshiriki kwa kutoa taarifa, naomba viongozi na wahusika waliangalie hili.

Kazi iendelee.
wee unasema huko hamna maji siku tatu??? wee njoo pugu uone wa2 tunanuka kama beberu,hamna maji wiki ya pili sasa!!!
 
Masama,uswaa au boma ngombe ndani kule kua muwazi akina kweka,njau na kimaro wapate maji
 
Habarinu wana jukwaa,

Huku nilipo Moshi Vijijini kuna shida ya maji mpaka kero. Idara inayohusika kuna tatizo gani watu tunakosa maji siku tatu?

Kipindi kama hiki cha masika hasa ukiangalia tuko karibu na Mlima mrefu kuliko yote Afrika. Mimi nimeshiriki kwa kutoa taarifa, naomba viongozi na wahusika waliangalie hili.

Kazi iendelee.
kazi yao kupita na kuchukua hela kila mwisho wa mwezi maji hawayashughulikii hadha ya mabomba kiziba ni nyingi sana hasa kutoka okaoni kushuka chini.
 
Habarinu wana jukwaa,

Huku nilipo Moshi Vijijini kuna shida ya maji mpaka kero. Idara inayohusika kuna tatizo gani watu tunakosa maji siku tatu?

Kipindi kama hiki cha masika hasa ukiangalia tuko karibu na Mlima mrefu kuliko yote Afrika. Mimi nimeshiriki kwa kutoa taarifa, naomba viongozi na wahusika waliangalie hili.

Kazi iendelee.
Maji yapo na mito imejaa maji....serikali ya kazimkazi imeamua kuchukua miradi ya maji ambayo ilikuepo n wananchi ndio waliweka na kuipa mamlaka ya maji ya moshi...wameteka mabomba ya kijiji na kufanya yao wameleta mita watu walipie maji
 
Ni eneo gani ndugu kulikp na hilo tatizo? Kwamaana Moshi Vijijini ni kubwa na pia hiki ni Kipindi cha Vuli na siyo masika.
inayosumbua ni moshi vijijini haswa kibosho kitandu kirima baadhi, uchau juu, kitandu juu, malanja karibia na ilipo sec ya okaoni na mkombole nahisi kama hawajahamisa mfumo wa bomba la zamani litakuwa chakavu. kijiji cha mloe kilichopo parishi ya mango hakina shida siku zote manake chanzo chake hakisumbui na bomba zao ni mpya washaacha mfumo wa zamani.
 
Maji yapo na mito imejaa maji....serikali ya kazimkazi imeamua kuchukua miradi ya maji ambayo ilikuepo n wananchi ndio waliweka na kuipa mamlaka ya maji ya moshi...wameteka mabomba ya kijiji na kufanya yao wameleta mita watu walipie maji
shida wameteka na wameleta meter alafu ikitokea tatizo la bomba kupasuka ama kuziba hawaji wao wanajua mwisho wa mwezi kuja kusanya bili nyambafu hawa.
 
Inanishangaza sana.

Kuanzia zamani tukiwa wadogo hadi miaka ya 2010, Moshi Vijijini haswa Tarafa ya Kibosho, ni eneo lenye mifereji, chemchem na mito midogo yenye maji safi na hakuna haja ya kutafuta wala kutegemea maji ya bomba.

Kama kweli hivi vyanzo havipo, na huko Kibosho kuna shida ya maji, basi ni hatari!

Kibosho Mango, Mloe, Kitandu, Kindi, Nganyeni, Malanja na hadi Manushi Sinde, Manushi Ndoo kote huko maji yalikuwa bwerere.
 
Kama kuna kijiji kule rombo kinaitwa mraurau maji yanatika kwa wiki lisaa 1 viongozi kwao masaa 24 visima vikuubwa watu wanahifadhi kama huna kisima imekula

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Inanishangaza sana.

Kuanzia zamani tukiwa wadogo hadi miaka ya 2010, Moshi Vijijini haswa Tarafa ya Kibosho, ni eneo lenye mifereji, chemchem na mito midogo yenye maji safi na hakuna haja ya kutafuta wala kutegemea maji ya bomba.

Kama kweli hivi vyanzo havipo, na huko Kibosho kuna shida ya maji, basi ni hatari!

Kibosho Mango, Mloe, Kitandu, Kindi, Nganyeni, Malanja na hadi Manushi Sinde, Manushi Ndoo kote huko maji yalikuwa bwerere.
acha tuu mkuu mfano kule kwetu kitandu sasa wamechukua idara ya maji na hii najua ni kibosho yote wanakuja kusoma mita kila mwisho wa mwezi na hela wanachukua sasa shida ikitokea hitilafu ya kuhitaji marekebisho hawaonekani kidogo mloe hapasumbui mfumo wao wa maji chemchem waliyotolea bomba haisumbui na pia mfumo wa bomba zao ni mzuri sababu umehusisha kanisa. Kisanga ni wa kitandu sinde na juu na malanja mpaka okaoni na uchau juu bomba linatoka mstuni juu kabisa na mfumo wa lile bomba kuna kipindi nlipanda mstuni ni mda kidogo bomba ni la mda na pia limezidiwa na watumiaji kwa sasa.
 
acha tuu mkuu mfano kule kwetu kitandu sasa wamechukua idara ya maji na hii najua ni kibosho yote wanakuja kusoma mita kila mwisho wa mwezi na hela wanachukua sasa shida ikitokea hitilafu ya kuhitaji marekebisho hawaonekani kidogo mloe hapasumbui mfumo wao wa maji chemchem waliyotolea bomba haisumbui na pia mfumo wa bomba zao ni mzuri sababu umehusisha kanisa. Kisanga ni wa kitandu sinde na juu na malanja mpaka okaoni na uchau juu bomba linatoka mstuni juu kabisa na mfumo wa lile bomba kuna kipindi nlipanda mstuni ni mda kidogo bimba ni la mda na pia limezidiwa na watumiaji kwa sasa.
Aisee poleni
 
Aisee poleni
asante sana wanaoteseka ni wazazi wetu sisi tunajitahidi kuclear bill lakini hawawatutendei haki watu chemchem hawatumii kama zamani sasa maji ni bomba wengi mcda wa kwenda chechem wanakuwa hawana tena lazima mfumo wa bomba wa zamani uzidiwe pia zamani tulikuwa watoto ni wengi hata kufwata maji chemchem ni rahisi sasa watoto kule ni wachache tofauti na kipindi cha nyuma familia nyingi unakuta ni watu wazima tuu wamesalia.
 
Miongoni wa Wilaya ya kutazama ni Moshi vijijini, sio ishu ya maji tu hata tarura siwaelewi ni shida tupu. Ukienda rombo tarura wa kule unaweza ukahisi lamda sio wa Tanzania Barbara zao Hadi mifereji baadhi ya sehemu zimejengewa lakini njoo huku Moshi vijijini kama vijiji vya uuwo, kirimeni, kiruweni nk hamna huduma kabisa
 
Miongoni wa Wilaya ya kutazama ni Moshi vijijini, sio ishu ya maji tu hata tarura siwaelewi ni shida tupu. Ukienda rombo tarura wa kule unaweza ukahisi lamda sio wa Tanzania Barbara zao Hadi mifereji baadhi ya sehemu zimejengewa lakini njoo huku Moshi vijijini kama vijiji vya uuwo, kirimeni, kiruweni nk hamna huduma kabisa
unakumbuka barabara iliyoishia mkoring'a ilitakiwa iungane na ya umbwe toka enzi ya kikwete mpaka leo
 
Back
Top Bottom