Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, tulizilea hizi timu katika mtindo huo na sio rahisi leo kuzitenganisha na CCM, chombo pekee kinachoweza kufanya hivyo ni FIFA kuzipa onyo na kuendelea kuzifuatilia kwa ukaribu.
Kuna hawa Wafanyakazi wa Manispaa ya Temeke ambao wanajibanza pembeni mwa Barabara na kusubiri gari ziharibike waje wakukamate.
Kiukweli wanakera sana kwa sababu haifiki hata dakika 15 wanatokea na kusema wanataka kuvuta gari na Breakdown iende Yard yao ukalipe faini ya sh 340,000 ya kuharibika...
Nimefurahishwa na andiko lako yote uliyogusia ni ukweli mtupu, je unadhani anayo nafasi ya kubadili mihemko ya Wananchi kabla hatujafika kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025?
Sio kweli huyo Dereva amekudanganya mimi nimefanya kazi hiyo kwa miaka mingi mwisho wa umiliki ni nyumba ya kuishi, gari ya kutembelea na mradi mdogo wa kuendeshea maisha ya familia, labda huyo aliyekwambia hivyo aseme ni mali za mtu kapewa asimamie.
Fikiria mara mbili hicho ulichouliza, inahusiana nini Chadema na kuokoa uhai wa Lissu na michango? Kila mtu anataka ajitolee mchango wa pesa kwa sababu anapendwa na Raia, ukumbuke pia wapo wengine ni CCM na wametoa michango yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sana ila nataka ujue pamoja na Makene kuwa msemaji wa chama lakini pia sio mbaya akasaidiwa na Hemedi ni jambo la kawaida sana wala halitoi picha yoyote mbaya, ni kusaidiana majukumu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akapumzike kwa nini sasa? Huoni kama aliyoongea ni ya msingi sana, rudia kusoma tena alichosema halafu upe muda ubongo wako kutafakari maneno yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.