Recent content by malija

  1. malija

    Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

    Ila ni aina ya kiongozi ambaye taifa lilikuwa bado linamhitaji,kwa kpnd kifupi alichokaa madarakani na mambo aliyoyafanya hakika anastahili pongezi. Rest easy Mzee baba.
  2. malija

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Ongezeni channel za movies,zilizopo hazijitoshelezi na hazina movie nzuri
  3. malija

    Naomba kujua stahiki anazostahili kupewa Mtu aliyefanyiwa Retrenchment

    Wadau natumai ni wazima wa afya njema,naomba kufahamu stahiki anazotakiwa kulipwa mtu aliyefanyiwa" retrenchment" na bado ana mkataba. ====== Tukianza na Sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 kifungu cha 38 ukitaka kupunguza wafanyakazi au mfanyakazi unatakiwa kufuata utaratibu...
  4. malija

    Najikuta nina stress kupindukia

    Haya maisha yana changamoto nyng sana,jitahd kuyakabili kadri uwezavyo na kuwa makini na maamuzi utayoyachukua pengine yanaweza kukuza matatizo zaid...muombe Mungu akutangulie uweze kukabiliana nayo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. malija

    TANZIA: Mwandishi Lutengano Haonga wa TBC afariki dunia

    Rest in peace,everything comes & goes... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. malija

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Jamaa wamenifuata mara kwa mara na mpk sasa nasumbuliwa kwenye simu kila kukicha nijiunge nao,kila nikifikiria kiingilio ndo nachoka kabisa na isitoshe hata watu wanaokuja kunishawishi wengi sion mafanikio waliyonayo,wana maneno mazuri ila kiuhalisia kaz yao ni ngumu sana,huo mtaji ni heri...
  7. malija

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Bei za vifurushi haziko fair kabisa,zimekuwa juu sana na haziendan na mahitaji,lifanyien kazi hilo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. malija

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Fanyeni kuongeza movie channel na pia rejesheni st music mambo yawe poa kpnd hk cha korona na ikiwezekana legezen kdg bei ya vifurushi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. malija

    Tetesi: Rais wa nchi ile hana nia ya dhati ya kuthibiti corona. "USHAHIDI" anatamani na anapanga makusudi maafa yatokee nchini mwake

    Acha maisha yaendelee,usipokufa kwa corona utakufa kwa mengine,unadhan utaishi milele hapa duniani? Tufanye kazi cha msingi tuzingatie vile tunavyoagizwa na wataalamu wa afya ya namna ya kujikinga na janga hili,maisha yetu hatujafikia point ya kusema tujifungie ndan bila ya kwenda...
  10. malija

    Kenyatta amechanganyikiwa, Magufuli ame-relax

    Pambana na hali yako,hatua zinazochukuliwa ni moja wapo ya mapambano dhidi ya gonjwa hili,usitake kila kitu rais akufanyie kana kwamba hana wasaidizi...maisha yapo na yanaendelea kama kawaida ww unasubiri rais akuambie itakula kwako Sent using Jamii Forums mobile app
  11. malija

    Msaada wa kisheria

    Kampuni kuuzwa huku ukiwa kama mfanyakazi mwenye mkataba na muajiri wa zamani huku muajiri mpya akikutaka usaini mkataba mpya uendelee na ajira,je, kuna malipo yoyote unayotakiwa kulipwa?
  12. malija

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Kwangu mie haizingui naona fresh kbs
  13. malija

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kuongeza bei ya kifurushi cha sms kwa mwezi mzima wakati mitandao mingine bei iko simple no kufukuza wateja,nilijiunga sana kifurushi chenu ila kwa sasa hamnipati tena mpk mshushe bei ndio nitarud tena
  14. malija

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Ongezeni channel za movies,st movies pekee haitoshi na pia wekeni current bongo movies kwenye channel yenu ya st Swahili
  15. malija

    Naomba maoni yenu katika kufungua kiwanda cha kukamua Mafuta ya Alizeti

    Biashara inaonekana inalipa nahitaji kuifanya km muuzaji wa rejareja
Back
Top Bottom