Recent content by Maligisa James

  1. M

    Neno La Leo: Tumeibiwa Kiasi Cha Kutosha, Watuache Na Mchanga Wetu..!

    Kama ni kweli basi ni uchanga wa kisiasa. Na kwa hali hiyo adui wa maendeleo yetu ni siasa zetu za kitoto, ambazo hulenga kulaumu kila kinachofanywa na upande mwingine hata kama ni kizuri!
  2. M

    Asanteni Maafisa bandari, siku nyingine mkitengeneza sinema mkumbuke kubandua plate number

    Yea hii haieleweki nadhani mleta mada pekee ndo anaelewa alichofanya au kilichotokea maana picha zake zinachanganya hadi inakuwa kama uzushi vile!
  3. M

    Asanteni Maafisa bandari, siku nyingine mkitengeneza sinema mkumbuke kubandua plate number

    Hata mie najiuliza ina maana gari hilo lilishushwa kwenye kontena? Na kama lilishushwa mbona halina plate number kwa nyuma? Kwa nini plate number iko kwa mbele tu?
  4. M

    Wizara ya Ardhi yatangaza kupiga mnada viwanja visivyolipiwa kodi, imo hoteli ya Mange Kimambi

    Hakuna haja ya kulalamika, yanini kupoteza muda? Present nyaraka za malipo ya kodi mahakamani na TRA kabla ya siku ya mnada uweke zuio! basi!!
  5. M

    Mahari Kulipiwa VAT na Kukatiwa Risiti

    Mahari haikutakiwa kuwa zaidi ya uwezo wa anayetoa, lkn wazazi wengi wanaifanya kama njia ya kujipatia utajiri na hivyo inakosa maana yake, kwa maoni yangu hakuna haja ya kuwa na kiwango elekezi lakini mtoa mahari apewe uhuru wa kutoa kulingana na uwezo wake kwa hiari yake kadri aonavyo inafaa...
  6. M

    Ndugu zangu, Maadui wa Magufuli ni wananchi wenyewe!

    Watanzania sasa sio muda wa kukaa pembeni na kusema "ngoja tuone kama ataweza" naomba tujitambue kuwa tumeshachelewa sana, ni muda wa kuamka na kumsupport Mhe. Rais ambaye Mungu katupatia baada ya kuomba kwa bidii ili tuanze much rah is baraka zetu tulizojaliwa kwa neema!
  7. M

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Katika hotuba yake JPM hakutaja jina la JK wala ofisi yake, alitaja ofisi zingine tu kwa lengo la kulinda heshima ya Ikulu na aliyekuwemo. Tatizo la watanzania ni kukosoa kila kitu hata kama kimefanyika vizuri. Dr JPM akitenda kama JK watu watasema CCM ni ileile akitenda tofauti wanasema...
  8. M

    Mheshimiwa Spika na Rais wa Jamhuri ya Muungano mlichokifanya sio sahihi

    Tatizo la Zanzibar litaisha lkn sio kwa njia ya kuzomea bungeni, Wapiga kura hatukutarajia mambo yanayofanywa na wabunge wetu wa UKAWA. Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Kati ya alternatives za kusolve matatizo/migogoro sidhani kama kuzomea ni njia mojawapo. Ni aibu kwa mtu mwenye heshima zake...
  9. M

    Hospitali Kuu ya Taifa Muhimbili yapokea vitanda na magodoro

    Mabadiliko yanawezekana hata bila kubadilisha chama cha siasa, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa, Mungu mbariki Rais wetu Dr John Magufuli
  10. M

    DR. Magufuli atinga Monduli, atembelea kaburi la aliyekuwa waziri mkuu hayati Moringe Sokoine

    Wingi wa watu kwenye mkutano si wingi wa kwenye sanduku la kura!
  11. M

    Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

    Tatizo wengi wanatumia muda wao kumjadili na kumsema badala ya kumwombea, yawezekana angekuwa ameshaimarika. Mungu tunaomba umponye mzee wetu, japo hatujajua mambo yatakuwaje baada ya tarehe 25 Oktoba,2015.
  12. M

    Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

    Naona wanamabadiliko wanahitaji badiliko la chama sio kiongozi, maana kiongozi yeyote atakayeshinda atakuwa tofauti, lkn naona chama ndio hitaji lao. Hivyo leo hii hata CCM ingebadili jina na kuitwa RP wangesema hilo ndo badiliko wanalohitaji, hao ndo wanamabadiliko!
  13. M

    Magufuli amtakasa Chenge, amuita shujaa wa mabadiliko!

    Jamani mahakama ina kazi gani?
  14. M

    Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

    Tusiwe mahakimu wengi mahakama ya mafisadi ikianza ndo itajulikana nani fisadi nani anasingiziwa. Mbona tunawahi kabla ya wakati, after all Magufuli sio hakimu hata aanze kuhukumu watu majukwaani.
  15. M

    Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

    Kwani wakati Marekani wanamchagua Obama walikuwa hawajaendelea hata waseme haijalishi ataleta maendeleo au la?
Back
Top Bottom